Serious kichwa kinaniuma, shemeji yangu ana mimba yangu

Wewe mtu umezid....we ni mbaya acha azae ubaya wako udhihirike kwa mungu na wanadamu
 
Ndiyo ww uliekua unajigamba juzi,kumbe na ww yamekukuta basi pole
 
Binafsi naona storry zako zote za kutunga tu, yawezekana una saikologiko problem, unajaribu kutengeneza tukio lisilo kuwepo kujipa moyo, ila kama ni kweli basi tafuta bwana akuoe na hii itakuwa mwisho wa matatizo yako mana hutofanya haya tena.
 
Mtoto wa 4 huyo hongera sana baba kijacho......unaogopa aibu ya mimba mbona hujaogopa aibu ukiendeleza huo mchezo wako?
 
Binafsi naona storry zako zote za kutunga tu, yawezekana una saikologiko problem, unajaribu kutengeneza tukio lisilo kuwepo kujipa moyo, ila kama ni kweli basi tafuta bwana akuoe na hii itakuwa mwisho wa matatizo yako mana hutofanya haya tena.
Asante sana mkuu,jambo lisilokuhusu lazma uchukulie poa tu,,ila omba yasikukute
 
Cha kufanya hapo muoe kabisa mkuu kabla hawajajua ana ujauzito wako huo ndo ushauri wangu wa bure mkuu.
 
Kuna viambishi nmevielewa kwenye mada yako hakika ili jambo limekutokea. Duuh we mkali bwana
 
Mapenzi ni sawa na michezo ya kawaida tuzo mojawapo ni Mimba, so unatakiwa ukubariane na kilichotokea na lolote litakalokuja kutokana na tatizo hilo pambana nalo.

Kweli bado tuna kazi ya ziada ya kukielimisha kizazi hiki na hapo unakuta ni graduate wote mwanamke na mwanaume na wanajua wanachokifanya na matokeo yake ni nini!

Kwa kukusaidia kwa baadae jitahdi ujiwekee principles za kukuongoza na kukufanya uishi maisha yasiyokupa stress za kijinga na za kijitakia kama hayo.
 
Habari zenu wapendwa,hakika jana haikuwa siku nzuri kwangu,kama mnavojua nilishasema kwamba nina watoto watatu wa mama tofauti,kuna TRAVIS,SEAN na MOUREEN.,sasa iko hivi,ni kwa muda mrefu nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mdogo wa mama Moureen,tumekuwa kwenye mahusiano ya siri sana,na mkumbuke mama Moureen ndie yule niliyembikiri kisha baadae akanizalia mtoto na nishasema sitamuoa kwa sababu ya mdomo na gubu lake,,basi kuna siku mimi na mdogo wa mama Moureen tulikuwa tunachat Whatsapp.kwa bahati mbaya mama Moureen alikuja akaona zile conversations zote za mapenzi na ndipo akagundua ya kwamba natoka na mdogo ake,kwa kweli aliniuliza na aliumia sana,na nilishindwa kujitetea wala kubisha zaidi tu ya kuomba msamaha,ila mahusiano na mdogo ake hayakuisha,tumeendelea kimyakimya na kwa siri sana,sasa jana mtoto kaniambia siku zake za period zimepitiliza ,harafu anatapika na anachagua misosi,nikaogopa,tumeenda hospital flani ya binafsi kupima mimba kwa kweli ni kwamba huyu binti ni mjamzito.yaani jana nzima kichwa kinanigonga balaaa,sijui hata nifanye nini,maana sina raha kabisa.na huyu binti anashinda analia kutwa kwao ila hajawaambia anacholia ni nini?? Naogopa itakuwa ni aibu kwenye familia yangu na kwa jamii pia.kutoa naogopa mana sijawahi kumtoa yeyote yule na naogopa asije akafa ila pia ni dhambi.sielewi hata nifanye nini,nahisi kukonda siku mbili tu,kila nikiwaza mwili unashtuka maana hili jambo linaninyima amani sana
Kalumakenge
 
Hakuna kitu kibaya Dunian kama Ku kill just image wee wazaz wako wange kukill usije itoa iyo mimba

Anza kutengeneza plan zako na uyo bibie za badae na umfanye kama mke mfunge na ndoa

Coz uyo uliye naye ushasema Hauna mpango nae nikama mnachezeana japo mmezaa
 
Back
Top Bottom