Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 835
Huu uzi ni wa kutunga msipoteze muda kumshaur huyu anatafta umaarufu jf ww si ulisema mkeo yupo jf na ni mchangiaji wa hili jukwaa sasa wamdanganya nan?
Lini nimekwambia nimeoa mama mkwe? Acha uzushi dadaAcha stori za kutunga unaenjoy watu eeeh
Jana anadai amezaa na wanawake 3 mara sijui kamuoa mamamkwe chefuuu
Sina account fb kwa hiyo sielewi hicho unachoongea wewe.harsfu sinaga mambo ya kutunga hata siku mojaUsitufanye wajinga umegeuza hili jukwaa ni fb la kuleta love story na mikasa ya uongo
Duhmuue ili upoteze ushahid kama ushauri mzur hutaki ngojea tukushauri kwa akili za kilev
Wakat unaanza haya mahusiano ulimaanisha nn?Habari zenu wapendwa,hakika jana haikuwa siku nzuri kwangu,kama mnavojua nilishasema kwamba nina watoto watatu wa mama tofauti,kuna TRAVIS,SEAN na MOUREEN.,sasa iko hivi,ni kwa muda mrefu nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mdogo wa mama Moureen,tumekuwa kwenye mahusiano ya siri sana,na mkumbuke mama Moureen ndie yule niliyembikiri kisha baadae akanizalia mtoto na nishasema sitamuoa kwa sababu ya mdomo na gubu lake,,basi kuna siku mimi na mdogo wa mama Moureen tulikuwa tunachat Whatsapp.kwa bahati mbaya mama Moureen alikuja akaona zile conversations zote za mapenzi na ndipo akagundua ya kwamba natoka na mdogo ake,kwa kweli aliniuliza na aliumia sana,na nilishindwa kujitetea wala kubisha zaidi tu ya kuomba msamaha,ila mahusiano na mdogo ake hayakuisha,tumeendelea kimyakimya na kwa siri sana,sasa jana mtoto kaniambia siku zake za period zimepitiliza ,harafu anatapika na anachagua misosi,nikaogopa,tumeenda hospital flani ya binafsi kupima mimba kwa kweli ni kwamba huyu binti ni mjamzito.yaani jana nzima kichwa kinanigonga balaaa,sijui hata nifanye nini,maana sina raha kabisa.na huyu binti anashinda analia kutwa kwao ila hajawaambia anacholia ni nini?? Naogopa itakuwa ni aibu kwenye familia yangu na kwa jamii pia.kutoa naogopa mana sijawahi kumtoa yeyote yule na naogopa asije akafa ila pia ni dhambi.sielewi hata nifanye nini,nahisi kukonda siku mbili tu,kila nikiwaza mwili unashtuka maana hili jambo linaninyima amani sana
Sikumaanisha kitu zaidi ya ngonoWakat unaanza haya mahusiano ulimaanisha nn?
Nahuyu asiowe tu anaweza kuwa na mdomo kama sister wake.We jamaa bana naona umeamua kutuburudisha
Mkuu Juvenile hio familia itakuwa na papuchi tamuSikumaanisha kitu zaidi ya ngono
Sana tu bwana toziMkuu Juvenile hio familia itakuwa na papuchi tamu
We acha kelele ,mi kichwa kinaniuma naburudika humu nasahu harafu wewe unaleta utoto kwenye serious issue?Stori za kutungaaaa
Ha haa itabidi kamati ikaeNahuyu asiowe tu anaweza kuwa na mdomo kama sister wake.
Usitufanye watoto kila siku unaleta uzi hapa wa kutunga jf sio fbWe acha kelele ,mi kichwa kinaniuma naburudika humu nasahu harafu wewe unaleta utoto kwenye serious issue?
Usiitoe hiyo mimba mkuu, inawezekana ni yangu maana hata mimi huwaga nammega, muulize vizuri tu!!!Habari zenu wapendwa,hakika jana haikuwa siku nzuri kwangu,kama mnavojua nilishasema kwamba nina watoto watatu wa mama tofauti,kuna TRAVIS,SEAN na MOUREEN.,sasa iko hivi,ni kwa muda mrefu nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mdogo wa mama Moureen,tumekuwa kwenye mahusiano ya siri sana,na mkumbuke mama Moureen ndie yule niliyembikiri kisha baadae akanizalia mtoto na nishasema sitamuoa kwa sababu ya mdomo na gubu lake,,basi kuna siku mimi na mdogo wa mama Moureen tulikuwa tunachat Whatsapp.kwa bahati mbaya mama Moureen alikuja akaona zile conversations zote za mapenzi na ndipo akagundua ya kwamba natoka na mdogo ake,kwa kweli aliniuliza na aliumia sana,na nilishindwa kujitetea wala kubisha zaidi tu ya kuomba msamaha,ila mahusiano na mdogo ake hayakuisha,tumeendelea kimyakimya na kwa siri sana,sasa jana mtoto kaniambia siku zake za period zimepitiliza ,harafu anatapika na anachagua misosi,nikaogopa,tumeenda hospital flani ya binafsi kupima mimba kwa kweli ni kwamba huyu binti ni mjamzito.yaani jana nzima kichwa kinanigonga balaaa,sijui hata nifanye nini,maana sina raha kabisa.na huyu binti anashinda analia kutwa kwao ila hajawaambia anacholia ni nini?? Naogopa itakuwa ni aibu kwenye familia yangu na kwa jamii pia.kutoa naogopa mana sijawahi kumtoa yeyote yule na naogopa asije akafa ila pia ni dhambi.sielewi hata nifanye nini,nahisi kukonda siku mbili tu,kila nikiwaza mwili unashtuka maana hili jambo linaninyima amani sana
Sio pakiti za KIROBA?Meza diclopar kwanza kichwa kipone, mengine yatafuata