Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Uhalisia gani wanapoitwa kwenye party cocous wananyweaKwenye chama kuna siasa na serikalini kuna uhalisia!
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhalisia gani wanapoitwa kwenye party cocous wananyweaKwenye chama kuna siasa na serikalini kuna uhalisia!
Bwashee kuna tofauti kati ya taarifa ya chama na taarifa ya serikali.
Leo imeongea serikali!
Watanzania wengi hamjui kutofautisha siasa na uhalisia ndio maana vitu vyengine huwa mnaongea mpk misuli ya shingo inakakamaa shingo zinashindwa kujipinda
Duniani pote, siasa ndio hayo makosa sana ulioorodhesha. Nionyeshe siasa ya wapi haipo hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Mbowe hiyo mikutano atafanyia wapi?Sio kila jambo unaweza kulifanyia siasa. Kuingiza siasa katika kila jambo imechangia Taifa hili kurudi nyuma katika mambo mengi. Leo Mbowe akisimama na kusema wataendelea na mikutano hata kama kuna Corona utasema anapiga siasa na tumwache aseme?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Mbowe hiyo mikutano atafanyia wapi?
Ni mbwiga tu ndio watakaomuamini!
Bwashe tulitarajia chama tawala ndiyo ingeshauri/agiza serikali yake kusimamisha mara moja safari za ndege za nje kuingia nchini na kufuta safari za nje kwa watanzania ili kunusuru nchi na corona lakini wapi! Au chama tawala haijui wajibu wake kwa serikali? Haijui kuwa serikali iliyopo madarakani ni yake?Bwashee kuna tofauti kati ya taarifa ya chama na taarifa ya serikali.
Leo imeongea serikali!
Naona bado sijaeleweka!! Mkuu fanya mambo mengine achana na hili tutachoshana we katafute hela huko mengine yaachie yapite.Sio kila jambo unaweza kulifanyia siasa. Kuingiza siasa katika kila jambo imechangia Taifa hili kurudi nyuma katika mambo mengi. Leo Mbowe akisimama na kusema wataendelea na mikutano hata kama kuna Corona utasema anapiga siasa na tumwache aseme?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kile kichwa unaweza kukitofautisha na nazi?Sasa mbona Polepole Jana aliongea kama kuku aliyekatwa kichwa ?!. Bora huyo naibu waziri ameongea kitaalamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha mbona umekua mkali sana kuliko hata wale waliofananishwa na virus vya korona?Watanzania wengi hamjui kutofautisha siasa na uhalisia ndio maana vitu vyengine huwa mnaongea mpk misuli ya shingo inakakamaa shingo zinashindwa kujipinda
Kila siku wanatamba chama kimeshika hatamu. Safari hii kimeshikwa kiunoBwashee kuna tofauti kati ya taarifa ya chama na taarifa ya serikali.
Leo imeongea serikali!
Vijana wanaounga mkono juhudi hata za kunya wakishikwa kidogo wanakuwa wakali kama nzigeHaha mbona umekua mkali sana kuliko hata wale waliofananishwa na virus vya korona?
Sent using Jamii Forums mobile app
na kwanini siku hizi chama kinapenda kuongelea mambo yanayotakiwa kutolewa ufafanuzi na selikaliSasa mbona Polepole Jana aliongea kama kuku aliyekatwa kichwa ?!. Bora huyo naibu waziri ameongea kitaalamu
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo serikali ni ya chama tofauti na cha Polepole?!Bwashee kuna tofauti kati ya taarifa ya chama na taarifa ya serikali.
Leo imeongea serikali!
Msemaji wa serikali ni Dr Abbas!hiyo serikali ni ya chama tofauti na cha Polepole?!
hata kama ni mlamba viatu vya watawala, mara moja moja uwe unajiongeza.
Sent using Jamii Forums mobile app