- Thread starter
- #21
sawaHutaki nenda kwa baba yako akupe ajira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawaHutaki nenda kwa baba yako akupe ajira
hahaah, nauli hawakupi, sana sana mtapewa ruksa ya kwenda kuhakikiwa au wanaohakiki wanaweza kuwafuata hapo ofisini kwenu.Inabidi watufikirie hata nauli sasa.. Maana sisi wengine tupo interior sana kwenda tu hadi halmashauri ni sh. 10,000 bado kurudi na kula.. Dah! hii inachosha
Niliposema sirudi kufanya kazi Tanzania nilikataa ujinga kama huu.Habarini wanaJF!
Uhakiki umechosha kwa watumishi wa umma umechosha sasa loooh!
Tutatakiwa kuwa na vitu vifuatavyo:
1. Kitambulisho cha NIDA
2. Kitambulisho cha kazi
3. Salary slip
Imechosha sasa, si kwa uhakiki huo!!!
Re : Zoezi la Uhakiki Watumishi wa Umma kwa Kutumia Taarifa za Kitambulisho
cha Taifa Pamoja na Ukaguzi wa Uingizwaji wa Taarifa katika Mfumo wa HCMIS
Tafadhali husika na somo tajwa hapo juu.
Tumepokea maelekezo ya Serikali kupitia barua toka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa
Umma na Utawala Bora yenye Kumb. Na.CFC.26/205/01”Y”/56 ya tarehe 06 Juni, 2017 kuhusu mada
tajwa hapo juu. Kama mtakumbuka Mamalaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) ilifanya zoezi la
kuwasajili watumishi wa Umma kwa ajili ya kuwapatia Namba ya Utambulisho na Kitambulisho cha
Kitaifa cha Taifa kuanzia mwezi Septemba, 2016 hadi mwezi Machi, 2017.
Aidha, hatua inayofuata ni kufanya uhakiki wa taarifa za watumishi wote wa Umma kwa kutumia
taarifa za NIDA zilizoingizwa kwenye Mfumo wa HCMIS. Ili kufanikisha zoezi hili uhakiki wa
watumishi litaanza kuanzia tarehe 16 Juni, 2017 kwa watumishi walio Mikoani watahakikiwa katika Wilaya mliopo chini yaWakurugenzi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa ambako zoezi hili litafanyika.
Aidha, ili kufanikisha zoezi hili kila mtumishi anapaswa na kutakiwa kuwa na nyaraka zifuatazo
wakati wa uhakiki;-
a) Kitambulisho cha kazi chenye picha ya mtumishi husika,
b) Hati ya malipo ya mshahara (Salary slip) na,
c) Kitambulisho cha Taifa au Namba ya Utambulisho wa Taifa
Nimatumaini yangu kwamba mtashiriki na kusimamia ipasavyo utekelezaji eze
kukamilika katika muda uliopangwa.
Hivi we ume-install auto reply humu au?Inabidi Mtekeleze agizo tu, mtafanyaje sasa
Niunganishie na mie huko ulipo nije kufanya kazi huko hata kama sio "shughuli halali" nitafanya tu na mie nipumzike kuhakikiwaNiliposema sirudi kufanya kazi Tanzania nilikataa ujinga kama huu.
hahahahah, umenifanya nicheke, japo nilikuwa nimenuna kwa kuambiwa nikahakikiwe tena kwa mara sijui ya ngapi!!! hahahahahah Joseverest hahahahahHivi we ume-install auto reply humu au?
Hapana sijainstall autoreply humuHivi we ume-install auto reply humu au?
Kwanza kabisa mimi sijui lolote kuhusu habari za shughuli zisizo halali.Niunganishie na mie huko ulipo nije kufanya kazi huko hata kama sio "shughuli halali" nitafanya tu na mie nipumzike kuhakikiwa
Elimu yangu ni darasa la saba, kazi yangu ni mhudumu wa ofisi upande wa kuwaandalia maofisa chai na vitafunwaKwanza kabisa mimi sijui lolote kuhusu habari za shughuli zisizo halali.
Kupata kazi si tabu. Tabu kupata status ya kuweza kupata kazi.
Una kisomo gani na uzoefu gani?
Siwezi kukudanganya.Elimu yangu ni darasa la saba, kazi yangu ni mhudumu wa ofisi upande wa kuwaandalia maofisa chai na vitafunwa
Sidhani kama kuna mtu waliyemlenga, basi tu wameamua kufanya hivyo mara kwa mara!!!Anaetafutwa ajitokeze anatusumbua na wengine jamanii
Habarini wanaJF!
Tutatakiwa kuwa na vitu vifuatavyo:
1. Kitambulisho cha NIDA
2. Kitambulisho cha kazi
3. Salary slip
Imechosha sasa, si kwa uhakiki huo!!!
Napenda kujiajiri lakini sina maarifa na ujuzi ya kujiajirikuajiriwa ni sawa na utumwa, inabd ukubali maelekezo ya mwajiri ili mradi tu yasikiuke sheria, kama hutaki JIAJIRI
Habarini wanaJF!
Uhakiki umechosha kwa watumishi wa umma umechosha sasa loooh!
Tutatakiwa kuwa na vitu vifuatavyo:
1. Kitambulisho cha NIDA
2. Kitambulisho cha kazi
3. Salary slip
Imechosha sasa, si kwa uhakiki huo!!!
Re : Zoezi la Uhakiki Watumishi wa Umma kwa Kutumia Taarifa za Kitambulisho
cha Taifa Pamoja na Ukaguzi wa Uingizwaji wa Taarifa katika Mfumo wa HCMIS
Tafadhali husika na somo tajwa hapo juu.
Tumepokea maelekezo ya Serikali kupitia barua toka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa
Umma na Utawala Bora yenye Kumb. Na.CFC.26/205/01”Y”/56 ya tarehe 06 Juni, 2017 kuhusu mada
tajwa hapo juu. Kama mtakumbuka Mamalaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) ilifanya zoezi la
kuwasajili watumishi wa Umma kwa ajili ya kuwapatia Namba ya Utambulisho na Kitambulisho cha
Kitaifa cha Taifa kuanzia mwezi Septemba, 2016 hadi mwezi Machi, 2017.
Aidha, hatua inayofuata ni kufanya uhakiki wa taarifa za watumishi wote wa Umma kwa kutumia
taarifa za NIDA zilizoingizwa kwenye Mfumo wa HCMIS. Ili kufanikisha zoezi hili uhakiki wa
watumishi litaanza kuanzia tarehe 16 Juni, 2017 kwa watumishi walio Mikoani watahakikiwa katika Wilaya mliopo chini yaWakurugenzi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa ambako zoezi hili litafanyika.
Aidha, ili kufanikisha zoezi hili kila mtumishi anapaswa na kutakiwa kuwa na nyaraka zifuatazo
wakati wa uhakiki;-
a) Kitambulisho cha kazi chenye picha ya mtumishi husika,
b) Hati ya malipo ya mshahara (Salary slip) na,
c) Kitambulisho cha Taifa au Namba ya Utambulisho wa Taifa
Nimatumaini yangu kwamba mtashiriki na kusimamia ipasavyo utekelezaji eze
kukamilika katika muda uliopangwa.