Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,099
Wazo zuri lakini kwa nini hawakuufanya mji wa Nzega kuwa Mkoa badala yake wakaifanya Katavi yenye wilaya mbili tu? Maana wangeweza kupata wilaya Tano kwa kuweka Mkoa wa Nzega...ambao ungekuwa na Wilaya za Nzega yenyewe, Bukene, Puge/Ndala, Igunga
Dakitari,
Mji hauwezi kuwa mkoa au ulimaanisha wilaya?