nkanga chief
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 2,084
- 1,620
Serikali ya ovyo hiiSerikali isiyojitambua inatenda kazi kwa ubabaishaji wa hali ya juu na uongo uliokithiri.
Ndoo hivyo wakienda kukopa wanaambiwa kuna uhakikiWapi imeandikwa kuwa watumishi hawaruhusiwi kukopa kwenye mabenki?
Taratibu ndg,pyu pyu itakuhusuHii nayo ni serikali mbele ya serikali tukufu za dunia hii
Takataka tyu
Don't mind me
Yaani CCM mmezoea kuambiwa kila kitu na nyie mgeuke kasuku kwa kurudiaruidia. Ili mtu akopeshwe ni lazima awe na dhamana ya kazini kwake ambayo ni Slary Slip na barua toka kwa muajiri wake.Wapi imeandikwa kuwa watumishi hawaruhusiwi kukopa kwenye mabenki?