Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Waziri wa Nchi, OR Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema, "Kumekuwa na maombi mengi sana ya baadhi yetu kuomba kubadilisha vituo vya kazi. Nitoe rai, hatutakuwa na mabadiliko ya vituo vya kazi kwa sasa. Nafasi zote zimetolewa kulingana na uhitaji wa kila halmashauri au mwajiri husika."
Amesma hayo leo Januari 30, 2026 wakati akizungumza na Wanahabari Jijini Kwenye Ofisi za Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwenye Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma.
Pia Soma: KERO - Kuna kero kubwa ya Mkwamo wa vibali vya uhamisho (Utumishi HQ) kwa Watumishi walioomba kuhamia vituo
Amesma hayo leo Januari 30, 2026 wakati akizungumza na Wanahabari Jijini Kwenye Ofisi za Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwenye Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma.
Pia Soma: KERO - Kuna kero kubwa ya Mkwamo wa vibali vya uhamisho (Utumishi HQ) kwa Watumishi walioomba kuhamia vituo