johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Serikali imesema korosho zote zitakuwa processed hapa nchini na kwahiyo ni marufuku kusafirisha korosho ghafi nje ya nchi.
Source ITV habari!
Source ITV habari!
Kwani wanaouza wana nini?Je tutaweza uza huko nje kwa viwango wanavyotaka?
Andika "wazile wao"Hapa sasa niandike nini!
Wewe hesabu siku wanaume wanaendelea kubangua korosho!Nawahesabia siku tu kabla hawajaja kubadili kauli zao!
Baada ya kuzipora?!Wewe hesabu siku wanaume wanaendelea kubangua korosho!
Andika "wazile wao"
Muulize Cecil Mwambe akuambie wapiga kura wake wanavyounga mkono juhudi kila uchwao kwa ajili ya korosho!Baada ya kuzipora?!
Wacha zitudodee hapa tuzile wenyewe! Tutakuwa na nyege balaaa. Kila unayekutana naye yuko anacheka cheka kama wale mabinti wa shule za boarding za wasichana ambao hawajawahi kuona mwanaume kwa term nzima!
Wacha zitudodee hapa tuzile wenyewe! Tutakuwa na nyege balaaa. Kila unayekutana naye yuko anacheka cheka kama wale mabinti wa shule za boarding za wasichana ambao hawajawahi kuona mwanaume kwa term nzima!
Walipe hizo walizochukua kwanzaDr imesema korosho zote zitakuwa processed hapa nchini na kwahiyo ni marufuku kusafirisha korosho ghafi nje ya nchi.
Source ITV habari!
Wamezipora kweliBaada ya kuzipora?!
Dr imesema korosho zote zitakuwa processed hapa nchini na kwahiyo ni marufuku kusafirisha korosho ghafi nje ya nchi.
Source ITV habari!
Nafikiri inawezekana kama itakuwa ya kiwango cha kimataifaJe tutaweza uza huko nje kwa viwango wanavyotaka?