Sasa mkuu kama hawajahusika basi hii issue asikamatwe mtu yoyote aliyefanya kazi chini yao namaanisha Chenge na wengine waliotajwa, adeal na hao wachimbaji na wamalizane tu, otherwise haitoleta mantiki yoyoteRais magufuli Léo amesema amesoma ripoti nzima n'a hajaona Mahali walipotajwa mkapa n'a kikwete
Na amesema waachwe wapumzike kwa kuwa walifanya kazi kubwa kulitumikia taifa
Nini maoni yako
Chanzo Chanel ten
Kwani lini alijua kusoma?Rais magufuli Léo amesema amesoma ripoti nzima n'a hajaona Mahali walipotajwa mkapa n'a kikwete
Na amesema waachwe wapumzike kwa kuwa walifanya kazi kubwa kulitumikia taifa
Nini maoni yako
Chanzo Chanel ten
Balaa. Hivi mkuu unavyoona tupo serious kweli na hii vita?Mchawi wetu
TAMKO LA MATUMIZI YA PICHA ZA MARAIS WASTAAFU KWA VYOMBO VYA HABARI NA MITANDAO YA KIJAMII
View attachment 523859
Moja ya Gazeti Linalomilikiwa na Freeman Mbowe/CHADEMA.
View attachment 523866