nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
nimegundua hii vita ni usanii mtupu. ikulu inaanza kutetea majizi....
Hamna kinachoendeleaMagu juzi mbona ulikua unauliza nani aliyeturoga,leo unatajiwa unaanza kusema tuwaache tena
Hapo ndipo anapokosea.Rais magufuli Léo amesema amesoma ripoti nzima n'a hajaona Mahali walipotajwa mkapa n'a kikwete
Na amesema waachwe wapumzike kwa kuwa walifanya kazi kubwa kulitumikia taifa
Nini maoni yako
Chanzo Chanel ten
Nimemvua vyeoMagu juzi mbona ulikua unauliza nani aliyeturoga,leo unatajiwa unaanza kusema tuwaache tena
ndio maana hizo nchi zimeendelea siyo sisi tunalindana lindana tu kwa mambo ya kijinga, inatakiwa ijulikane kabisa kiongozi yoyote atakefanya kazi kinyume na sheria na kutokuzingatia maslahi ya taifa atashtakiwa tu hata awe rais au wakuu wa majeshiNchi za wenzetu hata ukifanya kosa leo uwe ni Rais, uwe Jaji - wewe ni ndani. Nchi za kiafrika kuna ka kulindana-lindana ambako ndiko kanatutafuna.
Taifa hili lime laaniwaAdabu muhimu sana, Ripoti imeanza uchunguzi kuanzia walipoanza kusafirisha mchanga Mwaka 1998 mpaka 2017 alafu mtu mmoja anazungumza habari za 1994 kama sio ukichaa ni nini