RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,722
- 2,602
Ukoshakua mraibu ata bei ikipanda utatumia tu
Hapo kwenye Ukimwi na Bima ya Afya weka wizi, starehe na matumbo!View attachment 3366167
Serikali imeongeza kiwango cha kodi kwa washindi wa michezo ya kubashiri (Betting) ambapo Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema Ongezeko la kiwango hiko cha fedha kitakachopatikana, asilimia 70 itaenda katika mfuko wa serikali kupambana na Ukimwi na asilimia 30 kuchangia mfuko wa bima ya afya.
“Kufanya marekebisho kwenye sheria ya michezo ya kubahatisha sura namba 41. Kuongeza kiwango cha kodi kwenye zawadi ya ushindi kutoka asilimia 10 hadi asilimia 15,” amesema Waziri Mwigulu Nchemba bungeni Dodoma leo wakati akisoma bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026. ✍️
Aibu kubwa ila Mungu wetu yupo kaziniyaani mwigulu bana hii wizara haimfai kwasababu ana conflict of interest..imagine yeye kwasababu ana kampuni ya betting kaondoa kodi ili apate zaidi halafu kwa washindi wa betting kawabana kodi