Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,860
- 812
jamani pole eeh, ela zilikuwa bize na BMK, hata za wale UKAWA hamna chenji, pia ESCROW akaunti imefilisi nchi, mabalozi wamegomea makabidhiano ya katiba, wahisani hawajatupa ela. nimekumbuka na zingine zipo kwenye mwenge. ushauri mfuate sita ana mil 150, akitoa hapo mil kadhaa utasogeza siku za mwanao.
Akukome nani? Halafu mambo yakuja juu juu na mausingizi yako hapa uache. Lala huko.
Salamu sana.
Hapa nakaribia kupasuka kwa uhuni niliofanyiwa na bodi ya mikopo.
Imekuwaje mtoto wa mimi mkulima asipewr mkopo hata senti moja.
Kasoma shule za kidumu na mfagio tokea msingi hadi a levo.
Mtoto wa kike kajitahidi kapata div moja. Jkt kwa mujibu kaende. Leo wanasema eti budget exhausted.
Bado sijaelewa somo
Tena mi nalalamika kivyangu. Na wewe ulalamike yako.
.......... kwanini mmeuhamisha huu uzi wangu. Nataka ukae jukwaa la siasa..
Chanzo cha kuifilisi bajeti ya masomo ya juu kipo hapa.
huo ndo msaada sasa..Kama unauwezo wa kumsaidia msaidie mwenzio. Usimtamanishe Mungu hapendi.
Bodi ya mikopo inafanya vizuri kupunguza idadi ya wasomi.. Hii mitoto ikimaliza chuo inatusumbua sana kutaka ajira
**** wewe ngesem wewe
We mamdenyi si mfia chama wewe!? Unalalamika nini tena!
Niambie jina la mama yako la utotoni ili nikutukanie hilo hilo, nyau wewe.
Niambie jina la mama yako la utotoni ili nikutukanie hilo hilo, nyau wewe.