Serikali yangu haijanitendea haki

Kilichosababisha mkose mkopo ni necta, wamepasisha mpaka vilaza sasa saivi wote wanahitaji kuingia chuoni, haya sasa. Tanzania mfumo wa elimu ni mbovu
 


Aiseee huu uandishi huu mbona hivi?
 
Last edited by a moderator:
Am serious my man. Bodi ya mikopo ina utani na watu. Wafute mashule yao ya serkali. Kwani watoto si watasoma tu.

Nenda physically pale HESLB waeleze kinagaubaga ikiwezekana ukate rufaa ningekua karibu ningekusaidia maana ni haki yake huyo dogo
 

Poleee njoo UD hapa kitivo cha sheria nikuleee....

Maaana sisi wengine serikali inatuogopa..Lol
 
Kwani kuna namna ya uandishi ambao hauruhusiwi hapa mpaka uhoji?


Sorry mkuu Kama nimekukwaza lakini sikuwa na nia ya kuhoji nilikuwa nashangaa tu....
 
Maneno makali lakini si uongo Mkuu. Sasa kama unashangazwa na maneno makali mauaji ya Mwangosi na hadi leo muuaji wake kupeta uraiani hushangai Mkuu? Waliotaka kumuua Dr Ulimboka hadi leo hii bado wapo mtaani hushangai mkuu?, Nchi tajiri kama ya kwetu viongozi wanakuwa mabilionea hata kuficha pesa nyingine nchi za nje huku Watanzania walio wengi wakishindwa kujua hata mlo mmoja kwa siku hawajui utatoka wapi, hushangai Mkuu?

Maneno makali
 

Basi inatosha.
 
mkiambiwa uozo wa CCM mliua hamuelewi! kua uyaone
 

Mkuu wa kazi kama mzazi mmoja mie ni mzazi mmoja. Kama tcu kozi aliyoomba ina priorty. Kama bodi nimeenda . Pale bodi wapo juu juu wamesema kama.pesa imeisha tufanyeje. Wamewalipa vijana wao wana fanya kutia watoto waliojaa pale moyo kana kwamba ni waathirika wa janga la mikopo.

Niambie niende wapi kwingine zaidi ya jf.
Sikutaka ila imelazimu nifanye hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Nenda physically pale HESLB waeleze kinagaubaga ikiwezekana ukate rufaa ningekua karibu ningekusaidia maana ni haki yake huyo dogo

Nimeenda mkuu.
Jibu wanakuambia soma ulivyoandikiwa. Yaanj wanaibariki budget exhausted.
 
Kilichosababisha mkose mkopo ni necta, wamepasisha mpaka vilaza sasa saivi wote wanahitaji kuingia chuoni, haya sasa. Tanzania mfumo wa elimu ni mbovu

Hivi mtoto wa kike kakwepa mangapi hadi fom six tena.shule za nyerere na kapata a.
Ananyimwa mkopo bila sababu.
Serikali itoe tamko kuhusu shule zake . Vingjnevyo tuseme sisi.
 


Wako kwenye harusi ya dada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…