Serikali yanawa mikono Al-Shabab Mtanzania

Serikali yanawa mikono Al-Shabab Mtanzania

Na heshimu mchango wako, tafadhali soma vizuri... Mie sikujitapisha !! nimeweka wazi uchungu wa Mzazi (mama could be mama wa yeyote hapa JF) yupo desparate anatanga-tanga !! KESHO tutasikia majahili wanaUa na kuBoom innocents /poors tutageuza macho na kuendelea na ya dunia!!
Pole sana tupo ktk enzi za fitina na POWER who is who!! East African Eagle


Nimesoma vyema nikakuelewa. Na ndio maana nikakuuliza ungekuwa ni wewe mama ambaye mwanao kauliwa ungelimuonea huruma huyo mama rashidi.? Una huruma ya upande wa mama rashidi lakini kina mama wafiwa huwahurumii.? Ni halali kwa watoto wao kuuliwa.?! Kama ni uchungu wote walipata .! Lakini una mtizamo na vigezo vyako sikulaumu.! Ila mama gaidi ana haki ya kuumia pia.kusomesha na kufuga mbuzi kibarawa kama yule.
 
Last edited by a moderator:
Ni uzembe uliopitiliza kuanzia kwa mama ambaye anadai mwanaye alikuwa shuleni,uongozi wa shule ambao haukumtaarifu mzazi kuhusu kupotea kwa mtoto huyo na hili jeshi linalonawa mikono kwa kudai sheria za Kenya linalizuia hata kuulizia juu ya mustakabali wa kijana.Ni jukumu la nchi kufuatilia kuhusu raia wao nje ya nchi,waje na majibu na uthibitisho tujue juu ya makosa yao na haki itendeke.Chagonja hatakiwi kuongea mambo na waandishi kama hajui analozungumzia.

Sijui unawaza VP? Yaan Toto lko advance linauwezo wa kubeba mabom Mimi Mkuu wa shule nitoe taarifa kwao eti Mwanafunzi amepotea mama fuatilia huko, afu government isihusike na wahalifu nje ya mipaka eti kwa kuwa n RAIA, yaan ubebe unga uende China unaswe huko et serikali itafute vbar watu wasabahi gerezan
 
Ishia hapo hapo, utatukanwa matusi ya nguoni bure. We hujafuatilia jinsi mtoto alivyokuwa na msimamo mkali wa kidini hadi akasimamishwa shule kwa kugoma kuvua kibalaghashia! alikuwa anafikia hatua ya kushikana mashati na waumini wenzake wenye msimamo wa wastani huko msikitini! alikuwa ana matumizi makubwa yasiyo na chanzo cha kufahamika! amekutwa amejificha ndani ya maiti zaidi ya masaa 8 na baadayw akahamia juu ya dari akiwa na mabomu! Alitoweka shuleni na mizigo yake bila kuaga! mpaka hapo unasema ameonewa! na yeye mwenyewe anaeleza wazi wazi! We unaona kwa akili zako uchungu wa huyo mama ni mzito kuliko wa akina mama waliouliwa watoto wao 147! WE UNA TATIZO KICHWANI.
Chanzo cha taarifa tafadhari, nataka kukusaidia upelelezi
 
Ni ngumu kuamini kama walimu wa shule aliyosomea hawajui kuwa mwanafunzi wao ni gaidi.Haiwezekani mwanafunzi apotee shuleni miezi mitatu
halafu mzazi asiulizwe.Siku hizi mawasiloano yako njenje.Mimi nashauri walimu wakamatwe waisaidie serikali ya kenya naamini wanahusika hapo

We unafatilia habari, au ushavurugwa headmaster alisema dogo aliandika namba feki shulen
We umekomaa walimu wakamatwe au unataka ajira kufidia gepu zao?
 
Nyinyi wote ni wapumbavu....hapa hatumwongelei mtuhumiwa, tunamwongelea mama yake....anayo haki ya kwenda kumuona mwanawe japo kwa mara ya mwisho kabla ya kuhukumiwa...kitendo cha polisi kutoa majibu ya kisenge eti hawajui kuhusiana na mwanae zaidi ya kuona kwenye magazeti ni upuuzi...ndo maana huyu mama kawafuata akitegemea vyombo ya dola vitashiriki kujua nini kitafuata, kitendo cha raia wa nchi kuhusika na kukamatwa kwenye nchi jirani then serikali haioneshi kufuatilia kinaonesha the way tulivyokuwa weak....serikali weak...eti wanasubiria msamaha kutoka kenya? Huu ni upumbavu, raia wa nchi hii anahaki ya kuja kuserve adhabu yake nchini na lazima vyombo vya dola vinavyojitambua vifuatilie...jinsi huyo askari anavyoongea anaonekana hata kujua hataki, na wala hawataki kufuatilia....weak country motherfucker.....mbona raia wa nchi zingine wakishikwa kwetu serikali zao zinawaomba ili wawashuhurikie wenyewe...kamata mmarekani uone km us government haijamdemand mtu wao ili wamtrial at home.....matako yenu

Nawe na huyo mama gaid matako yenu membamba, polisi wamsaidie nn tena mbona kapewa majibu swafiii kabisa ye kama anaenda Kenya apande ndege mabasi ajar nyingi aweza asifiki, alafu apite nyumba za wafiwa wote atoe pole afu arud. Wakati dogo anabeba mabomu mbona mza hakutaarifu polisi, dogo alivunga Rambo eti? Ngoja aipate
 
Ishia hapo hapo, utatukanwa matusi ya nguoni bure. We hujafuatilia jinsi mtoto alivyokuwa na msimamo mkali wa kidini hadi akasimamishwa shule kwa kugoma kuvua kibalaghashia! alikuwa anafikia hatua ya kushikana mashati na waumini wenzake wenye msimamo wa wastani huko msikitini! alikuwa ana matumizi makubwa yasiyo na chanzo cha kufahamika! amekutwa amejificha ndani ya maiti zaidi ya masaa 8 na baadayw akahamia juu ya dari akiwa na mabomu! Alitoweka shuleni na mizigo yake bila kuaga! mpaka hapo unasema ameonewa! na yeye mwenyewe anaeleza wazi wazi! We unaona kwa akili zako uchungu wa huyo mama ni mzito kuliko wa akina mama waliouliwa watoto wao 147! WE UNA TATIZO KICHWANI.

Mwambie mi nkiongeza itakuwa shida
 
Zamani ilikua ukitoka Tanzania kwenda Kenya, askari wala hawana shaka na wewe, lakini siku hizi hilo limearibiwa na alshabaab tz, ukipita tu lazima wakuhoji
 
Umewasikia hao wanafamilia wameomba serikali iwasaidie hata kuiona hiyo miili ya ndugu zao magaidi waliokufa au kuomba miili yao wakazike kwao? Wameufyata kimya.Wanajua hiki kipindi hatari kwa usalama wao.

Sasa huyu gaidi wa kike mama yake mtanzania gaidi hakumtafuta mwanae kipindi kirefu leo mwanae kafanya tukio ndio anajitia anataka msaada akamwone nakuhakikishia wakenya hawatamwacha.
wakenya wenyewe mazafanta tu, juzi west gate leo garrisa.
 
Nawe na huyo mama gaid matako yenu membamba, polisi wamsaidie nn tena mbona kapewa majibu swafiii kabisa ye kama anaenda Kenya apande ndege mabasi ajar nyingi aweza asifiki, alafu apite nyumba za wafiwa wote atoe pole afu arud. Wakati dogo anabeba mabomu mbona mza hakutaarifu polisi, dogo alivunga Rambo eti? Ngoja aipate
nasema hiviii "na wapigwe tuuuuuu kwa maana tumechoka.
 
We unafatilia habari, au ushavurugwa headmaster alisema dogo aliandika namba feki shulen
We umekomaa walimu wakamatwe au unataka ajira kufidia gepu zao?

wanajitetea tu hiyo no ifuatiliwe na waangalie kama ilishawahi kuwasiliana na no yoyote ya uongozi wa shule na we humo nini
 
Hiyo dogo kama a a hatia anyongwe tu anuone akiwa maiti.. Nyie mnasema tu mbona yeye kawaua wenzake wazazi wao wamepelekewa maiti.. Just imagine umempeleka mtoto chuo anarudishwa maiti nae aruhusiwe akiwa maiti.. Pumbav sana... Na huyo mama aache kiherehere watu kule want uchungu na watoto wao awe makini nae anaweza arudi maiti
 
Nawe na huyo mama gaid matako yenu membamba, polisi wamsaidie nn tena mbona kapewa majibu swafiii kabisa ye kama anaenda Kenya apande ndege mabasi ajar nyingi aweza asifiki, alafu apite nyumba za wafiwa wote atoe pole afu arud. Wakati dogo anabeba mabomu mbona mza hakutaarifu polisi, dogo alivunga Rambo eti? Ngoja aipate

ukiwa umeshawahi kuzaa na ikatokea mwanao akatenda jambo baya sana walau unaweza kupata picha ya hali aliyonayo mama huyu kwa sasa. sio kama natetea alichofanya huyu bwana mdogo ispokua sio kila siku nguvu huondoa kila tatizo. hasa matatizo ya ideologies hua hayamalizwi kwa nguvu,, tukirudi kwa mama wa huyu dogo naweza tu kusema kua wakati mwingine mambo hua sio mepesi kama tunavyotaka yawe. nawasilisha
 
Baba kafanya la maana zaidi kuliko huyu anayemlilia muuaji. Anataka atumie rasilimali za umma kusaidia kwenda kumuona mtoa roho za watu? Na wewe unampa pole kwa maana unamuhurumia badala ya kumuhoji?

usimhukum mwenzako nawe hautahukumiwa
 
Kama ni kweli Chagonja ameyasema haya kwamba hawajui chochote zaidi ya kufuatilia kwenye magazeti basi ni aibu sana kwa vyombo vya usalama! Kama huyu kijana ni Mtanzania, Polisi walitakiwa haraka sana mara baada ya kupata taarifa hizo kufuatilia taarifa za mienendo yake alipokuwa shuleni na nyumbani, na mawasiliano yake,na pia kushirikiana naSerikali ya Kenya kwani kuna uwezekano mkubwa akawa sehemu ya magaidi wengi waliopo Tanzania.

Me mwenyewe nimesikitishwa sana na majibu ya Chagonja,yaani wamerizika na kukaaa bila wasiwasi kwa jambo zito kama hilo?
 
tena apotezwe kabisa huyo chalii.... asije leta ugaidi bongo akatumalizia na wadogo zetu huku... huyo tayari ana experience... akirudi mi hatari sana
 
....tuwe makini tunapochagua wake wa kuoa, ukioa mke mbulura usitegemee atamanage familia yake vzr. Kila neno alilokua anaambiwa na mtto wake alikibali bila haya kuquestion, pili hakua hata naawasiliano na shule anaposoma mtoto wake, yani yupo yupo tu, ss hv anaanza kuililia serikali imuokoe mwanae yani serikali imwokoe gaidi??? Yani badala ya kuanza kuwahurumia wazaz wenzio waliopoteza watoto wao kwa kuuliwa na mwanao unaongea ----- namna hiyo....toka nianze kusoma makala za huyu mama sijaona sehemi hata anapomwombea mwanae msamaha kwa kosa alilofanya...yawezekana na yy anahusika pia, yawezekana na yy anafurahia mwanae kupiga kazi ipasavyo. Huyo dogo anyongwe tena live uwanja wa taifa ili iwe fundisho kwa wengine pumbaf kabisa
 
Back
Top Bottom