TanzaniaLaw
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 1,298
- 482
One Muzzrat terrorist down!! Ally Kombo,
Last edited by a moderator:
WEWE acha kuchukua hukumu na kutoa judgment kabla ya uhakika wa mambo MAHAKAMA ndo yataHOJI na mahaka ndo yatatoa hukumu...!!! Hadi prove guilty ndo useme, Wee unajua maana ya MAMA au kuwa MZAZI !!
Mie sina haki ya kumhoji mzazi wa mhalifu ..mimi ntamsaidia kwa kupooza nafsi yake na kuridhisha amuone mwanae uso kwa uso!! Ooh God msaidie mama fatuma amuone mwanae kwa njia yeyote iliyo bora. AMIN
WEWE acha kuchukua hukumu na kutoa judgment kabla ya uhakika wa mambo MAHAKAMA ndo yataHOJI na mahaka ndo yatatoa hukumu...!!! Hadi prove guilty ndo useme, Wee unajua maana ya MAMA au kuwa MZAZI !!
Mie sina haki ya kumhoji mzazi wa mhalifu ..mimi ntamsaidia kwa kupooza nafsi yake na kuridhisha amuone mwanae uso kwa uso!! Ooh God msaidie mama fatuma amuone mwanae kwa njia yeyote iliyo bora. AMIN
WEWE acha kuchukua hukumu na kutoa judgment kabla ya uhakika wa mambo MAHAKAMA ndo yataHOJI na mahaka ndo yatatoa hukumu...!!! Hadi prove guilty ndo useme, Wee unajua maana ya MAMA au kuwa MZAZI !!
Mie sina haki ya kumhoji mzazi wa mhalifu ..mimi ntamsaidia kwa kupooza nafsi yake na kuridhisha amuone mwanae uso kwa uso!! Ooh God msaidie mama fatuma amuone mwanae kwa njia yeyote iliyo bora. AMIN
Mie Najisalimisha..... wala wasipate tabu!! Njia ya Centro,TISS nazijuwa !!Wewe na wewe gaidi tu sema bado tu kudakwa.Inshallah mwenyezi Mungu MWINGI WA Rehma atasaidia vyombo vyetu vya dola iko siku utatua mikononi mwao tu
Na heshimu mchango wako, tafadhali soma vizuri... Mie sikujitapisha !! nimeweka wazi uchungu wa Mzazi (mama could be mama wa yeyote hapa JF) yupo desparate anatanga-tanga !! KESHO tutasikia majahili wanaUa na kuBoom innocents /poors tutageuza macho na kuendelea na ya dunia!!Zamilun rafiki yangu., kama angeuawa mwanao uliyemzaa ki dhulumati hivi ., ungeyatapika haya maneno mwenzangu.?!
Na kama mama anazo na yeye hajavurugwa basi kwa mda huu angekaa akasikilizia kwanza.
Huyu Chagonja mwongo, Polisi wa Interpol na wa TZ wamefika mpaka pale shule alikuwa anasoma na kukusanya taarifa za Rashid ikiwemo kumhoji Headmaster Mr. Mbilinyi yeye anasema hawajui lolote zaidi ya kusoma kwenye magazeti? that is an irresponsible leader.
" Kwa mujibu wa Fatma alikuwa anajua mtoto wake yupo shuleni Bihawana mkoani Dodoma alipokuwa akisoma kidato cha tano huku uongozi wa shule ukisema alitoroka tangu Novemba mwaka jana, "
Mzazi wa aina gani huyu mtoto katoroka shule tangu Novemba leo April ndiyo unaomba msaada wa Serikali kweli?
Ulikuwa wapi kuomba msaada kutoka serikalini au polisi wamtafute mwanao tangu alipotoroka shule Novemba?
Kumekuwa na likizo ngapi mwanao asirudi nyumbani mpaka leo hii unatafuta msada serikalini?
Kama yeye alishindwa kuisaidia serikali kuwa mtoto wake ni gaidi kwanini serikali imasidie?
Huyo mama mtu atakuwa hana akili, akatafute msaada kwa Al Shabaab's symphathisers wenzake huko kama FaizaFoxy et al
Ndg zake wote waliokuwa wanamtetea hapo awali wako kimya kama wamesafiri waje basi wamsaidie huyu mama
Huyu Chagonja mwongo, Polisi wa Interpol na wa TZ wamefika mpaka pale shule alikuwa anasoma na kukusanya taarifa za Rashid ikiwemo kumhoji Headmaster Mr. Mbilinyi yeye anasema hawajui lolote zaidi ya kusoma kwenye magazeti? that is an irresponsible leader.
Kama huyu polisi changoja atakuwa mkweli basi tuna tatizo kubwa sana la kiintelijensia. Kama uwa tunawasema Kenya jinsi walivyo dhaifu kiusalama inaawezekana sisi ikawa worse.
Yani mtu muhimu kama huyu anaishia kuhojiwa na askari wa Kenya? Nilitegemea mama yake, imam wake, mwalimu wake wa dini, rafiki zake wa karibu na chain yote ya watu aliokuwa anashirikiana kiibada wawe wameshaojiwa.
Leo mtu anayetuambia kila siku nchi iko salama anasema ata yeye anayasoma kupitia magazeti. Very sad!
Mie Najisalimisha..... wala wasipate tabu!! Njia ya Centro,TISS nazijuwa !!
Ndugu yangu kama uko kichwani mwangu! Nimelazimika kusoma comments zote kutafuta comment kama hii! Najilazimisha kuamini huyu officer wa polisi kadanganya!kama ni kweli tuna safari ndefu! Nilipendezwa sana na gazeti la mwananchi kwa jitihada zao za kwenda hadi shuleni bihawana! Ila kama ndio msimamo wa jeshi la polisi hapa nimechoka sana! Katika hali ya kawaida ilitakiwa huyu mama awe ameshahojiwa mara nyingi ili kuconnect dots! Huyu mtoto hajaanzia ugaidi hewani! Na kenya hawawezi kupata all details! Washirika wengi wa huyu kijana wapo hapa tanzaniaKama huyu polisi changoja atakuwa mkweli basi tuna tatizo kubwa sana la kiintelijensia. Kama uwa tunawasema Kenya jinsi walivyo dhaifu kiusalama inaawezekana sisi ikawa worse.
Yani mtu muhimu kama huyu anaishia kuhojiwa na askari wa Kenya? Nilitegemea mama yake, imam wake, mwalimu wake wa dini, rafiki zake wa karibu na chain yote ya watu aliokuwa anashirikiana kiibada wawe wameshaojiwa.
Leo mtu anayetuambia kila siku nchi iko salama anasema ata yeye anayasoma kupitia magazeti. Very sad!
Those informations are classified!Huyu Chagonja mwongo, Polisi wa Interpol na wa TZ wamefika mpaka pale shule alikuwa anasoma na kukusanya taarifa za Rashid ikiwemo kumhoji Headmaster Mr. Mbilinyi yeye anasema hawajui lolote zaidi ya kusoma kwenye magazeti? that is an irresponsible leader.