Serikali yanawa mikono Al-Shabab Mtanzania

Serikali yanawa mikono Al-Shabab Mtanzania

Huyu Mfikisti wa Kitanzania anyongwe tu tumechoka na dini zinazochochea ugaidi
 
Ni uzembe uliopitiliza kuanzia kwa mama ambaye anadai mwanaye alikuwa shuleni,uongozi wa shule ambao haukumtaarifu mzazi kuhusu kupotea kwa mtoto huyo na hili jeshi linalonawa mikono kwa kudai sheria za Kenya linalizuia hata kuulizia juu ya mustakabali wa kijana.Ni jukumu la nchi kufuatilia kuhusu raia wao nje ya nchi,waje na majibu na uthibitisho tujue juu ya makosa yao na haki itendeke.Chagonja hatakiwi kuongea mambo na waandishi kama hajui analozungumzia.
 
Kama ni kweli basi hatuna jeshi la polisi lililo makini.
Ilitakiwa wawe wamefuatilia kuanzia shuleni mpaka watu wake wa karibu, ilikuwaje mpaka akajiunga na alshabaab sasa eti anasema nao wanasoma kwenye mahazeti si ujibga huo.
Hii ni issue kubwa siyo ya kuchukulia simple simple kama maandamano ya boda boda, ina maana kuna wengine zaidi ya huyu Rashid

Mambo ya kiusalama ni kizungu zungu kwa asiyemhusika.

Si kila linalotangazwa huwa ni msimamo/ukweli sahihi wa wanausalama. mengine huwa ni changa la macho ili kutoa nafasi uchunguzi kufanikiwa.
 
Huyo mama ni lazima anafahamu kilichokuwa kinaendelea. Hii tabia ya kulea watoto na kuwaambukiza ujinga ujinga kama vile huna baba, baba yako alinitelekeza, etc. inaharibu sana watoto na kuishia pabaya.

Watoto wa single parent family (samahani kwa kuchanganya lugha) wanamatatizo sana na ni rahisi kuwa extremists kama hiki kitoto. Huyo mmama ashike adabu yake, ahesabu tu tumbo lilizaa haramu maana kuua wenzio kwa unyama kiasi kile lazima uwe na akili za kishetani tu.

Wakenya mtendeeni huyo gaidi mtakavyoona inawafaa hata kama ni kumla nyama na huyo mmama asizingue kabisa. Aache jirani zetu wafanye ya kwao. Angekuwa mlezi mzuri, mwanaye asingefikia kuwa na tabia hizi. Asitudanganye kuwa hakujua mwanaye ni wa vimisimamo vikali (visivyo na tija) katika masuala mbalimbali. Tabia haijengwi mara moja, ni mchakato.

Awaache wakenya tafadhali. Chagonja na Jeshi zima la Polisi pambaneni na wahalifu wanaowamaliza askari wetu malindoni na vituoni. Msipoteze muda wa kufuatilia wapuuzi kama hawa.
 
huyo mama pumbavu miaka yote amekaa na mwanaye bila kumpeleka kwa baba yake ndio hasara ya kuishi kama malaya mjii mtoto anatakiwa apate malezi ya wazazi wote wawili. sasa yeye alimnngangania miaka yote ya kazi gani sasa huko kenya anataka akamuone ili afanyeje? au kapewa hirizi ya kumpelekea mwanaye ili apumue. hapo hakuna jinsi huyo mtoto ndio imetoka kama ni kuzaa mama yake ajiandae kuzaa mwinginge faster huyo ni wa kusagwa full hatuhitaji hizi mbegu hatarishi. mtoto tangu alipotoweka shuleni huna habari wewe ni mzazi gani? halafu eti unadai ukamuone? kwanza hata huyo mama ni gaidi akienda kule naye anarundikwa ndani anaungana na mwanaye
 
Huyu mama ni pumbavu sana,yani anaomba msaada serikali imsaidie aende kumuona mtoto wake gaidi,me nadhani serikali ilipaswa kumuweka kizuizini na huyu mama na kumchunguza vizuri,maana na yeye anaweza akawa gaidi mzuri tu.
 
Hiyo ni akili ya mwanamke yeyote angewaza ivoivo wala msimlaum sana yuko katika kuweweseka na kama mnvojua. Hawa wenzetu huwa hawaliyazami jambo kiundan zaidi bali huchukulia kila kitu kiurahisi tu. Ila kwa mwanaume hawezi kuomba kufanya ivo. Maana atajiuliza mambo mengi kabla ambayo yangempa picha ya huko na akakata tamaa. Muoneeni huruma
 
Yaani huyo mama nae hatari.Watu hata 40 Hawajamaliza wanalilia watoto wao waliouawa na huyo mwanae yeye anataka safari ya kiutalii kwenda kumtalii mwanae.Akikanyaga kenya akivuka mpaka tu watamla nyama wala hafiki hata Nairobi wananchi wenye hasira watamwulilia mbali.Au naye ni gaidi anataka kutoroka nchi kwa kisingizio cha kumwona mwanae?
kwani hakuna gaidi aliyekufa ambaye familia yake ipo kenya? hao wanafamilia wameliwa nyama?
 
Mambo ya kiusalama ni kizungu zungu kwa asiyemhusika.

Si kila linalotangazwa huwa ni msimamo/ukweli sahihi wa wanausalama. mengine huwa ni changa la macho ili kutoa nafasi uchunguzi kufanikiwa.

kula like kubwa mazee!!
 
kwani hakuna gaidi aliyekufa ambaye familia yake ipo kenya? hao wanafamilia wameliwa nyama?

Umewasikia hao wanafamilia wameomba serikali iwasaidie hata kuiona hiyo miili ya ndugu zao magaidi waliokufa au kuomba miili yao wakazike kwao? Wameufyata kimya.Wanajua hiki kipindi hatari kwa usalama wao.

Sasa huyu gaidi wa kike mama yake mtanzania gaidi hakumtafuta mwanae kipindi kirefu leo mwanae kafanya tukio ndio anajitia anataka msaada akamwone nakuhakikishia wakenya hawatamwacha.
 
Umewasikia hao wanafamilia wameomba serikali iwasaidie hata kuiona hiyo miili ya ndugu zao magaidi waliokufa au kuomba miili yao wakazike kwao? Wameufyata kimya.Wanajua hiki kipindi hatari kwa usalama wao.

Sasa huyu gaidi wa kike mama yake mtanzania gaidi hakumtafuta mwanae kipindi kirefu leo mwanae kafanya tukio ndio anajitia anataka msaada akamwone nakuhakikishia wakenya hawatamwacha.
Masikini mama wa watu !! Wewe mbona unamkomalia... Haki yake amuone mwanaeeeee!!
 
Ni ngumu kuamini kama walimu wa shule aliyosomea hawajui kuwa mwanafunzi wao ni gaidi.Haiwezekani mwanafunzi apotee shuleni miezi mitatu
halafu mzazi asiulizwe.Siku hizi mawasiloano yako njenje.Mimi nashauri walimu wakamatwe waisaidie serikali ya kenya naamini wanahusika hapo
 
" Kwa mujibu wa Fatma alikuwa anajua mtoto wake yupo shuleni Bihawana mkoani Dodoma alipokuwa akisoma kidato cha tano huku uongozi wa shule ukisema alitoroka tangu Novemba mwaka jana, "

Mzazi wa aina gani huyu mtoto katoroka shule tangu Novemba leo April ndiyo unaomba msaada wa Serikali kweli?

Ulikuwa wapi kuomba msaada kutoka serikalini au polisi wamtafute mwanao tangu alipotoroka shule Novemba?

Kumekuwa na likizo ngapi mwanao asirudi nyumbani mpaka leo hii unatafuta msada serikalini?

Kama yeye alishindwa kuisaidia serikali kuwa mtoto wake ni gaidi kwanini serikali imasidie?

Huyo mama mtu atakuwa hana akili, akatafute msaada kwa Al Shabaab's symphathisers wenzake huko kama FaizaFoxy et al

Nami nimejiuliza swali moja, hivi toka Novemba 14 mpaka April 15 shule za siku hizi hazina likizo hapo katikati?
 
Back
Top Bottom