Serikali yanawa mikono Al-Shabab Mtanzania

Serikali yanawa mikono Al-Shabab Mtanzania

Huyu mama hana mtu wa kumshauri? Hivi kwanini asitulie kwanza huu upepo upite
 
jeshi la tanzania lifatilie uyo mtu. kwani anaweza kuwa chanzo kizuli cha mtandao huo apa tanzania. kama mwanafunzi ameweza jiunga lazima kuna wakala tanzania walio mshawishi, adi kumpa mafunzo kama si kumpeleka ktk mafunzo. mshilikiane kwa vitengo vya kupambana na ugaidi ata kws kupeana habali. tunaitaji umoja kukomesha hili.
 
Hiyo ni akili ya mwanamke yeyote angewaza ivoivo wala msimlaum sana yuko katika kuweweseka na kama mnvojua. Hawa wenzetu huwa hawaliyazami jambo kiundan zaidi bali huchukulia kila kitu kiurahisi tu. Ila kwa mwanaume hawezi kuomba kufanya ivo. Maana atajiuliza mambo mengi kabla ambayo yangempa picha ya huko na akakata tamaa. Muoneeni huruma

Kwani hana ndugu awaombe ushauri juu ya hatua za kuchukua?
 
kwani hakuna gaidi aliyekufa ambaye familia yake ipo kenya? hao wanafamilia wameliwa nyama?

Duniani kote, ni mara ngapi umewahi kusikia wazazi wa maghaidi au watuhumiwa wa ughaidi wakiomba kuonana na watoto wao waliokamatwa?
 
kadoda11 Sielewi jinsi utenda kazi wa polisi wenu ulivyo, mbona wasiwatume wapelelezi wao waje hapa Kenya kimya kimya wamhoji jamaa ili wafaulu kuumbua mtandao wote huko Tanzania. Sipati picha eti polisi wenu wamenawa mikono.

Process hizo huwa ni muhimu kwa swala sensitive kama hilo lakini hawawezi kuzifanya public.
 
Last edited by a moderator:
jeshi la tanzania lifatilie uyo mtu. kwani anaweza kuwa chanzo kizuli cha mtandao huo apa tanzania. kama mwanafunzi ameweza jiunga lazima kuna wakala tanzania walio mshawishi, adi kumpa mafunzo kama si kumpeleka ktk mafunzo. mshilikiane kwa vitengo vya kupambana na ugaidi ata kws kupeana habali. tunaitaji umoja kukomesha hili.

Ulichoongea ni sahihi kabisa ndugu yangu!Namshangaa huyo mzee Chagonja kwa kuendekeza umangi meza!Eti yupo ofisini anategemea habari za magazeti badala ya kutoka hapo ofisini kwake na kufuatilia kiini cha habari hizo.Leo tumemsikia huyo Rashid,je kunauhakika gani kuwa ni huyo tu ndiye aliyejiunga na magaidi hao hakuna wengine?
 
....tuwe makini tunapochagua wake wa kuoa, ukioa mke mbulura usitegemee atamanage familia yake vzr. Kila neno alilokua anaambiwa na mtto wake alikibali bila haya kuquestion, pili hakua hata naawasiliano na shule anaposoma mtoto wake, yani yupo yupo tu, ss hv anaanza kuililia serikali imuokoe mwanae yani serikali imwokoe gaidi??? Yani badala ya kuanza kuwahurumia wazaz wenzio waliopoteza watoto wao kwa kuuliwa na mwanao unaongea ----- namna hiyo....toka nianze kusoma makala za huyu mama sijaona sehemi hata anapomwombea mwanae msamaha kwa kosa alilofanya...yawezekana na yy anahusika pia, yawezekana na yy anafurahia mwanae kupiga kazi ipasavyo. Huyo dogo anyongwe tena live uwanja wa taifa ili iwe fundisho kwa wengine pumbaf kabisa

Mtu yeyote au jamii ambayo haina uwezo wa kukemea maovu/ubaya kwa kisingizio tu kuwa huyu ni wetu au wangu utambue kuwa hiyo jamii ni mfu. Kaa nayo mbali. Na haya huanzia kwenye panya road mtoto anaiba unaletewa malalamiko unasema mtoto wangu sio mwizi mnamsingizia. Baba yake nae hatumuachi kwenye lawama; wanaume huwa tunakataa mimba na wala sio mtoto. Alipozaliwa tu alitakiwa awe mbele katika malezi ya mtoto, uzembe wake umetutengenezea gaidi I wish kungekuwa na sheria ya kumuhukumu pia
 
Sijamwelewa huyu mama.likizo ya december mwanae alienda nyumban au?na km hakwenda huyu mama alifanya jitihada gan kumtafuta mwanae?kiukweli haiingii akilini tokea nov hadi april ina maana hawakuwa na mawasiliano au changa la macho?
alienda likizo ya december baada ya kufunga shule nov. lakini aliporudi nyumbani aliaga kwa mama yake kuwa anarudi shule mapema kwa ajili ya kujisomea baada ya kuwa nyuma kwenye syllabus kwa sababu alipelekwa shule isiyo na mchipuo wa PCB kwa hiyo mama yake akampa sh. 90,000 kama matumizi kumbe sio ajabu aliitumia kama nauli. kuna habari humu JF inaelezea haya yote. itafute.
 
Back
Top Bottom