Ikiwa mwenyewe hajali serikali inafanya kazi gani kuingilia vyombo vya habari? Huoni kwamba wame cross the lineUmesikia JK ameongea au familia yake? Kwanza huwa hana hayo mambo. Kukingia kitu gani sasa, kama alizuiwa akakaa akaenda zake karudi yuko na mambo yake. Sasa JK shida ana gazeti itoke wapi, yeye hata umtukane wala hajali anajali yake
walifuta kilichoandikwa kwenye gazeti hilo la lowassambona taarifa hiii pia ilisomwa kwenye kituo fulani cha TV na redio ,je nao walikuw wahongo?
Busara wanaitumia vibaya sanaAngalao safari hii wameonyesha busara kidogo, endeleeni kuwakumbusha sio kukimbilia kuwafungia
Serikali Makini Inatoa Onyo/adhabu baada ya Kuprove Wrong, Inahitaji Muda Mfupi kuprove kuwa JK hakuwepo uwanjani. Kuliko Kuprove wrong Data za Sh Khalifa kwa hiyo Kuwa na subira kila kitu na wakati wake..