Serikali yafungua rasmi Mnada mwenge Dar es salaam

Serikali yafungua rasmi Mnada mwenge Dar es salaam

Nipe Maji

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2025
Posts
337
Reaction score
190
Serikali kupitia Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni Saad Mtambule amefungua rasmi Mnada ambao ni jukwaa linalowapa nafasi Wajasiriamali kuweza kuwafikia Watanzania kwa urahisi.

Huna NIDA? Cheti cha Kuzaliwa? Una Shida na Tanesco? DAWASA? BRELA? Unataka kuonana na Mkuu wa Wilaya? Shida ya Ardhi au Sheria? NK ,Njoo Mnadani, Bila Kusahau Upimaji Afya Bure, Burudani na Shopping ya Bei Chee.

Ni Tarehe 28, 29 &30 mwezi huu hapa Mwenge Jijini Dar es Salaam.



 
Serikali kupitia Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni Saad Mtambule amefungua rasmi Mnada ambao ni jukwaa linalowapa nafasi Wajasiriamali kuweza kuwafikia Watanzania kwa urahisi.

Huna NIDA? Cheti cha Kuzaliwa? Una Shida na Tanesco? DAWASA? BRELA? Unataka kuonana na Mkuu wa Wilaya? Shida ya Ardhi au Sheria? NK ,Njoo Mnadani, Bila Kusahau Upimaji Afya Bure, Burudani na Shopping ya Bei Chee.

Ni Tarehe 28, 29 &30 mwezi huu hapa Mwenge Jijini Dar es Salaam.

View attachment 3286589
Mi sijaelewa
 
Serikali kupitia Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule amefungua rasmi Mnada ambao ni jukwaa linalowapa nafasi Wajasiriamali kuweza kuwafikia Watanzania kwa urahisi.

Huna NIDA? Cheti cha Kuzaliwa? Una Shida na Tanesco? DAWASA? BRELA? Unataka kuonana na Mkuu wa Wilaya? Shida ya Ardhi au Sheria? NK ,Njoo Mnadani, Bila Kusahau Upimaji Afya Bure, Burudani na Shopping ya Bei Chee.

Ni Tarehe 28, 29 &30 mwezi huu hapa Mwenge Jijini Dar es Salaam.

View attachment 3286589
Nini hiki?
 
Back
Top Bottom