Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,833
- 972
Redio iman imetumika ktk uhalifu
Redio Imaan imepigwa BAN na serikali ya Magamba. Duh, utazani JF!
Redio iman imetumika ktk uhalifu
Waislamu hamna uwezo wa kuleta machafuko sana sana ni hii kuvizia mtu mmoja au wawili FBI wanakuja kuibua kila kitu nakuambia subiri uone unamjua Mohamed Gilani yule alilipua ubalozi wa Marekani sasa hivi ananyolea Bati na taarifa alizotoa ndio zimeprompt CIA na FBI kuja kuwakamata waliobakia kama wewe moja wapo jitose bahari kuliko kwenda Guantanamo!wameletwa na makanisa? Acha ujuha wewe. Pakitokea machafuko waislam vs wakiristo cia hawatakuwa upande wakiristo. Mbona rwanda walikimbia wakaachia wauane wenyewe kwa wenyewe? Halau unajiita mkiristo msomi
si unajua makafiri huwa woga sana wakimuona muislam. wanaweza wakawa 100, marisadi tele, mbwa mizinga. lkn wakimuona muislam 1 wanaona kama wapo watu 1000. huu ni moja ya miujiza mikubwa hapa duniani
si unajua makafiri huwa woga sana wakimuona muislam. wanaweza wakawa 100, marisadi tele, mbwa mizinga. lkn wakimuona muislam 1 wanaona kama wapo watu 1000. huu ni moja ya miujiza mikubwa hapa duniani
Kuwa na adabu, imeandikwa anakabiliwa na tuhuma za wizi, hizo tuhuma bado hazijathibitika pasipo na shaka. Mwizi baba ako..!
Hapo kwenye blue sioni namna ya kumtetea hasa nikikumbuka alivyoleta tifu pale mwembe chai enzi ya Ben..! Halafu hapo kwenye red naomba unipatie dini yake kama Uislam haujui..!Mimi nafikiri ikiisha hii wamfungulie kesi ya UGAIDI, ni GAIDI tu mfuasi wa Osama!, na Uislam wenyewe haujui
soon dola ya kiislamu itaenea middle east, west africa, east africa and all over the world so jiandaeni wneye chuki na uislam khilafa is coming
soon dola ya kiislamu itaenea middle east, west africa, east africa and all over the world so jiandaeni wneye chuki na uislam khilafa is coming
soon dola ya kiislamu itaenea middle east, west africa, east africa and all over the world so jiandaeni wneye chuki na uislam khilafa is coming
wakili mkirsito. Jaji mkiristo dhidi ya sheikh. Angalikuwa padri upesi wangalisema hana kesi ya kujibu. Mwalimu nyerere mungu amrehemu. Katuachia matatizo malkubwa ya udini hapa tanzania
huwezi kuchangia bila kuweka udini we mfuasi wa sheikh Ponda?
Hizo ni kelele za chura haziwazui tembo kunywa maji.....Wataangaika saana mwisho wa yote PONDA ataachiwa huru na baadae Sheikh PONDA ataifungulia serikali kesi ya kumdharirisha na atalipwa mahela mengitu na harakati zitaendelea km kawa...Hakuna anaeweza kumfunga Sheikh PONDA serikali inajua impact yake mwanzo mwisho nini inakifanya sasa ni kuwatishia kisaikolojia....FUNGA UONE MAJIVU YATAKVYOKUA SEHEMU YA MICHANGA
wameletwa na makanisa? Acha ujuha wewe. Pakitokea machafuko waislam vs wakiristo cia hawatakuwa upande wakiristo. Mbona rwanda walikimbia wakaachia wauane wenyewe kwa wenyewe? Halau unajiita mkiristo msomi
Kuwa na adabu, imeandikwa anakabiliwa na tuhuma za wizi, hizo tuhuma bado hazijathibitika pasipo na shaka. Mwizi baba ako..!
mkuu naona unashangilia. tunajua wewe ni mpinzani, wenzio tunaomboleza ekari 4 katikati ya jiji zinabadilishwa kwa pori la eka 40 huko mwanaromango kisarawe. bora hata wengekuja kwangu ningewapa hilo pori la eka 100 bure. ni haki yako kushangilia kwa sababu wewe ni anti islam. lakini naamini hata wewe kutoka moyoni kabisa unashangaa kituko hicho cha bakwata.kumbe Ponda mbali ya ugaidi pia mwizi??hawa watu wanatumia dini ku cover maovu yao??Dini zote huwa zinahubiri amani., upendo ila wachache wanabadili maandiko ili kukidhi maovu yao!
mkuu naona unashangilia. tunajua wewe ni mpinzani, wenzio tunaomboleza ekari 4 katikati ya jiji zinabadilishwa kwa pori la eka 40 huko mwanaromango kisarawe. bora hata wengekuja kwangu ningewapa hilo pori la eka 100 bure. ni haki yako kushangilia kwa sababu wewe ni anti islam. lakini naamini hata wewe kutoka moyoni kabisa unashangaa kituko hicho cha bakwata.