k.mtanganyika
Member
- Dec 28, 2012
- 23
- 1
hi ndo maana ya uhuru wa maoni(KUSEMA UONGO) na hi ndo maana ya uchochezi(KUSEMS UKWERI,KWAUSHAHIDI WA VITENDO NA KAULI-reiea, dk.sivalon)? amani NI yetu sote iwapo wanadhani KUWADHIBITI WATUFULANI WAO WATAISHI KWA AMANI sio KWERI. KULINDA na KUDUMISHA uadilifu NA HAKI ndio ufumbuzi wa amani. KUMBUKENI WANA JF, libya, islaeri, somalia, KWOTE HUKO nia ni kudhibiti vikundi vichache matokeo yake woote hawalali kwa furaha na amani. Ukiona mwenzako anadhurumiwa mkanye anaye dhuumu kama hujui kuwa kuna mtu anadurumiwa sikiliza mpande2husika, kisha angalia sheria kuchakachua sheria kwa faida unayoita kulindaamani huko ni kuibomoaamani! CHAKUSIKITISHA HUMU JF kuna baadhi ya watu wanajivika upelelezi, upolisi na uhakimu MNADHANI WOTE HATUJUI? matusi, kejeri,majigambo hayafai!