Hahahahaha! Utakuja kunifata tu mama. Najua hutapata usingizi siku zote ntakazokuwa mahabusu
Nimecheka sana .Kivipi?
Mbona TRA mwezi huu wamevunja rekodi ya ukusanyaji kodi au...?
Nimecheka sana .
Zile ni ngonjera mkuu.
Ni bora wapinzaniHalafu huu mtindo wa kutupiana lawama kwa kila anayeguswa na matatizo yanawasababishwa na serikali kwamba waendelee kuteseka kwa sababu walishabikia chama tawala wala hauwezi ufikisha upinzani popote pale. Maana kila anayekumbwa na tatizo awamu hii mnasema "wacha waisome namba" ina maana upinzani hakuna aliyeshabikia ambaye matatizo hayamkumbi. Acheni hizo bhana.
Ni bora wapinzani wanaisoma namba na hawakutoa kura, kuliko anayeusoma namba na aliwapa kura akijua kuwa kapata kiongozi kumbe kapatikana.Halafu huu mtindo wa kutupiana lawama kwa kila anayeguswa na matatizo yanawasababishwa na serikali kwamba waendelee kuteseka kwa sababu walishabikia chama tawala wala hauwezi ufikisha upinzani popote pale. Maana kila anayekumbwa na tatizo awamu hii mnasema "wacha waisome namba" ina maana upinzani hakuna aliyeshabikia ambaye matatizo hayamkumbi. Acheni hizo bhana.
Chuo cha makenika buguruni......Toeni vyuo ambavyo havijapata boom mpaka sasa
issue ni btch kuna baadh awajapata adi leo btch 16,17, 18 hawajapata hata sentiAu kunavingine
Hii itasaidia kuona sura kamili ya wanachokishabikia na kushangilia.Acha waisome namba, si hao ndio walikuwa wanamshabikia huyu anayependa sifa?
TIA,NIT,MUHAS,na vingine vingi tuTaja vyuo