Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,413
- 36,573
Baadaye Kenya itakuwa ndo anaonekana mzalishaji Mkuu,maana wanaakili kuliko sisiSerikali imebadili uamuzi wake wa awali wa kubangua korosho zote ndani ya nchi na kuziuza zikiwa zimebanguliwa na badala yake imeamua kuuza korosho ghafi
Serikali ya Tanzania imeingia mkataba wa mauziano ya Korosho na kampuni ya 'Indopower Solution' ya Kenya, mapema jana Jumatano jijini Arusha.
Kampuni hiyo yenye makao yake makuu Thika, nchini Kenya itanunua tani laki moja za Korosho ghafi zenye thamani ya shilingi 418 bilioni.
Waziri wa viwanda na biashara Joseph Kakunda amesema serikali inaendelea kuwakaribisha wanunuzi wa Korosho kutoka nje ya Tanzania kwa maslahi ya uchumi wa taifa na mkulima.
Mbali na uwepo wa Waziri Kakunda, Makubaliano hayo yameshuhudiwa na viongozi mbalimbali akiwemo Waziri wa Katiba na Sheria,