Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Korosho mlitolewa TKO na sasa korosho ipo icu
Angalia na upande wa pili kiuchumi, ambao ndio wa msingi zaidi na manufaa kwa wananchi na maendeleo yao. Ushindani kwa upatikanaji na bei wa hiyo nishati muhimu ni jambo la kheri kuliko hiyo dhana yako ya kufikirika ikiongozwa na mtazamo hasi.