Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Hayo ndiyo mawazo yanayo wafanya wapitishe sheria ya kuwalinda wasishitakiwe
atakaye ona anabanwa atafunga shell zake
atakaye ona anabanwa atafunga shell zake
Wananchi wanahitaji kuona ujenzi wa Hospital nyingi kubwa kwa ajili ya Maendeleo ya Afya za Watu wao CCM Mpya wanashindanisha maujenzi ya Vituo Vikubwa vya Mabasi baina ya mikoa kweli CCM Mpya inajali Maendeleo ya Vitu kuliko Maendeleo ya Afya za Watu
Hii sera ya serikali kufanya biashara wameiokota wapi ? inafahamika kwamba serikali ilikwishajiondoa kwenye mambo haya na kubaki msimamizi , huyu kalemani kaokota wapi mambo haya , au ni kweli kwamba serikali haina ajenda ?View attachment 1472096
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amezindua rasmi biashara ya kuuza na kusambaza mafuta nchini kwa kufungua kituo cha kwanza kuuza mafuta ya Petroli na Dizeli cha Serikali kitakachosimamiwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) kupitia Kampuni yake Tanzu ya Mafuta ( TANCOIL). Aidha Dkt. Kalemani alisema kuwa kuzinduliwa na kufunguliwa kwa biashara hiyo ni kutimiza azma na nia njema ya Serikali ya kuboresha shirika lake la TPDC,kuwapatia na kuwasogezea karibu wananchi wake huduma ya kupata mafuta yenye viwango vya ubora unaotakiwa, bei nafuu, na yatakayopatikana kwa wingi muda wote.
Dkt. Kalemani alifanya Uzinduzi huo pamoja na kufungua kituo hicho wilayani Musoma, mkoani Mara Juni 6, 2020, wakati wa ziara yake ya kikazi katika Mkoa huo, akiwa ameambatana na Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Zena Said pamoja na viongozi wengine waandamizi wa Wizara hiyo na Taasisi zilizochini yake. Alisema baada ya kuanza rasmi kwa biashara hiyo, TPDC kupitia TANCOIL itashirikiana na Halmashauri zote nchini kuhakikisha inafanikisha azma ya Serikali ya kufungua na kuweka vituo vya kuuza na kusambaza mafuta katika kila halmashauri nchini pamoja na miundombinu ya kuhifadhi na kusafirisha mafuta.
Dkt. Kalemani aliwaeleza watanzania kuwa TPDC na TANOIL watashiriki katika biashara ya uagizaji na usambazaji mafuta kama zinavyofanya kampuni zingine za mafuta nchini ili kuongeza ushindani na kutanua wigo wa kampuni za kizalendo kushiriki katika biashara ya mafuta, ambayo kwa sasa inafanywa na makampuni kutoka nje ya nchi tu. Alisema kuwa serikali kupitia TPDC itajenga vituo 100 kwa kipindi cha miaka 5 ijayo, tayari baadhi ya Halmashauri zimeanza kutenga maeneo yatakayojengwa vituo hivyo: Aidha itahakikisha kuwa nusu ya mafuta yote yanayoingizwa nchini yanasimamiwa TPDC.
https://english.elpais.com › ... › News
Cuba's healthcare system: How does Cuba manage to achieve first-world health statistics ...
10 Feb 2017 · Cuba's healthcare system is a source of pride for its communist government. The country has well-trained, capable doctors, the sector
Sio Kalemani, Kalemani ni Loud speaker tu.Hii sera ya serikali kufanya biashara wameiokota wapi ? inafahamika kwa serikali ilikwishajiondoa kwenye mambo haya na kubaki msimamizi , huyu kalemani kaokota wapi mambo haya ?
Yatakayofuata ni kama ya ATCL na akina Precisionair Kigoma na Ile ya MashaSerikali na kufanya biashara!!Wacha tuone.
Asante kwa kupajua kwenu.Mpitie Zitto pale kwenye kijiwe chake muende nae.
View attachment 1472096
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amezindua rasmi biashara ya kuuza na kusambaza mafuta nchini kwa kufungua kituo cha kwanza kuuza mafuta ya Petroli na Dizeli cha Serikali kitakachosimamiwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) kupitia Kampuni yake Tanzu ya Mafuta ( TANCOIL). Aidha Dkt. Kalemani alisema kuwa kuzinduliwa na kufunguliwa kwa biashara hiyo ni kutimiza azma na nia njema ya Serikali ya kuboresha shirika lake la TPDC,kuwapatia na kuwasogezea karibu wananchi wake huduma ya kupata mafuta yenye viwango vya ubora unaotakiwa, bei nafuu, na yatakayopatikana kwa wingi muda wote.
Dkt. Kalemani alifanya Uzinduzi huo pamoja na kufungua kituo hicho wilayani Musoma, mkoani Mara Juni 6, 2020, wakati wa ziara yake ya kikazi katika Mkoa huo, akiwa ameambatana na Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Zena Said pamoja na viongozi wengine waandamizi wa Wizara hiyo na Taasisi zilizochini yake. Alisema baada ya kuanza rasmi kwa biashara hiyo, TPDC kupitia TANCOIL itashirikiana na Halmashauri zote nchini kuhakikisha inafanikisha azma ya Serikali ya kufungua na kuweka vituo vya kuuza na kusambaza mafuta katika kila halmashauri nchini pamoja na miundombinu ya kuhifadhi na kusafirisha mafuta.
Dkt. Kalemani aliwaeleza watanzania kuwa TPDC na TANOIL watashiriki katika biashara ya uagizaji na usambazaji mafuta kama zinavyofanya kampuni zingine za mafuta nchini ili kuongeza ushindani na kutanua wigo wa kampuni za kizalendo kushiriki katika biashara ya mafuta, ambayo kwa sasa inafanywa na makampuni kutoka nje ya nchi tu. Alisema kuwa serikali kupitia TPDC itajenga vituo 100 kwa kipindi cha miaka 5 ijayo, tayari baadhi ya Halmashauri zimeanza kutenga maeneo yatakayojengwa vituo hivyo: Aidha itahakikisha kuwa nusu ya mafuta yote yanayoingizwa nchini yanasimamiwa TPDC.
Usikute ni madili yao haoHii sera ya serikali kufanya biashara wameiokota wapi ? inafahamika kwamba serikali ilikwishajiondoa kwenye mambo haya na kubaki msimamizi , huyu kalemani kaokota wapi mambo haya , au ni kweli kwamba serikali haina ajenda ?
Biashara ya mafuta imeshikiliwa na makampuni ya nje sio mbaya serikali ikafanya mana inapoteza pesa nyingi sana huko kwa kujaza mafuta magari ya serikali
Serikali kujihusisha na biashara hii wapi na wapi nani atakuwa regulator? Sera hizi mbovu ndio inafanya makampuni ya ukandarasi yanakufa.
Hii nchi inalenga kufukuza wawekezaji wa ndani na nje na ndio itakuwa mwanzo wa kuua kabisa uchumi huu unasuasua.
Huu utaratibu aliuanzisha Mwl Nyerere na ukafeli vibaya sasa tena watu wasiopenda ushauri wanalazimisha tena kuurejesha, kamwe hawatafaulu akiondoka ataondoka nao. Tuko hapa.
Sio Kalemani, Kalemani ni Loud speaker tu.
Materego kwao Mara. Kituo cha kwanza kujengwa kimejengwa Mara.View attachment 1472096
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amezindua rasmi biashara ya kuuza na kusambaza mafuta nchini kwa kufungua kituo cha kwanza kuuza mafuta ya Petroli na Dizeli cha Serikali kitakachosimamiwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) kupitia Kampuni yake Tanzu ya Mafuta ( TANCOIL). Aidha Dkt. Kalemani alisema kuwa kuzinduliwa na kufunguliwa kwa biashara hiyo ni kutimiza azma na nia njema ya Serikali ya kuboresha shirika lake la TPDC,kuwapatia na kuwasogezea karibu wananchi wake huduma ya kupata mafuta yenye viwango vya ubora unaotakiwa, bei nafuu, na yatakayopatikana kwa wingi muda wote.
Dkt. Kalemani alifanya Uzinduzi huo pamoja na kufungua kituo hicho wilayani Musoma, mkoani Mara Juni 6, 2020, wakati wa ziara yake ya kikazi katika Mkoa huo, akiwa ameambatana na Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Zena Said pamoja na viongozi wengine waandamizi wa Wizara hiyo na Taasisi zilizochini yake. Alisema baada ya kuanza rasmi kwa biashara hiyo, TPDC kupitia TANCOIL itashirikiana na Halmashauri zote nchini kuhakikisha inafanikisha azma ya Serikali ya kufungua na kuweka vituo vya kuuza na kusambaza mafuta katika kila halmashauri nchini pamoja na miundombinu ya kuhifadhi na kusafirisha mafuta.
Dkt. Kalemani aliwaeleza watanzania kuwa TPDC na TANOIL watashiriki katika biashara ya uagizaji na usambazaji mafuta kama zinavyofanya kampuni zingine za mafuta nchini ili kuongeza ushindani na kutanua wigo wa kampuni za kizalendo kushiriki katika biashara ya mafuta, ambayo kwa sasa inafanywa na makampuni kutoka nje ya nchi tu. Alisema kuwa serikali kupitia TPDC itajenga vituo 100 kwa kipindi cha miaka 5 ijayo, tayari baadhi ya Halmashauri zimeanza kutenga maeneo yatakayojengwa vituo hivyo: Aidha itahakikisha kuwa nusu ya mafuta yote yanayoingizwa nchini yanasimamiwa TPDC.
😁😁Kwahiyo hutaki watu wapige hela!? Akili za wapi hizi!?
upeo huu wa akili unatakisha tamaa kabisa yaani,Biashara ya mafuta imeshikiliwa na makampuni ya nje sio mbaya serikali ikafanya mana inapoteza pesa nyingi sana huko kwa kujaza mafuta magari ya serikali
June 7, 2020Maajabu ya karne ktk sera za serikali ya CCM Mpya yajitoa ktk mazao ya ndani inajiingiza ktk bidhaa za kuagiza toka nje
Serikali na kufanya biashara!!Wacha tuone.