ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,089
- 13,014
Bodaboda na baadhi ya vijana sehemu husika walikopelekwa hao ajira mpya.Huko vijijini na baadhi ya miji,ajira mpya wamekua mkombozi kwa vijana na waume wawatu ambao wanataka kuongeza wake.Akitaka kubadilishana we Waziri utapata hasara gani wengine wameolewa sasa ulikowapeleka utawapatie wenza