Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,909
- 33,485
Umombasa umeharibu ubongo wako!nikirudi bongo nakutana na pombe
Umombasa umeharibu ubongo wako!nikirudi bongo nakutana na pombe
Mkuu tuweke unazi pembeniDuuuuh hawa jamaa katir sana...
Yani hapa kila mtu anajifanya kusikitika bila kukumbuka kua hiyo ni vita ya visasi,ukiingia kwenye anga zawatu umekwenda na maji.Mkuu tuweke unazi pembeni
Kwenye vita adui anayekumininia risasi ukimkamata utamfanya nini??utamuachia,utampa favour
Hakuna cha ukatili vita ndio ilivyo no mercy kwa adui yako ndio maana Putin anarusha makombora ..in war ukimkamata adui ni kuua tu kwenye uwanja wa mapambano hakuna ukatili as long ww ni mjeda ,..
Ujue hawa Isis wameumbwa na moyo pande la nyama,.wanaosikitika watakuwa hawafahamu kwenye war ground hakuna urafiki Mimi wala sisikitiki,wewe unirushie makombora halafu nikikukamata nikucheke ..WTFYani hapa kila mtu anajifanya kusikitika bila kukumbuka kua hiyo ni vita ya visasi,ukiingia kwenye anga zawatu umekwenda na maji.
Ukioneshwa na mauaji yanayofanywa huko ndio utalia zaidi maana ni watoto wazee yani ni hatari!!
Ee Mwenyezi Mungu tunusuru na mitihani hii yadunia!
Sio dini, huu mchezo unachezwa kwa kutumia mgongo wa Dini.Hizi Dini hizi mhhh siku ya mwisho kutakuwa na kilio na kusaga meno
Huyu Rais Edogarn alikuwa hasikii wala haoni kipindi hiko akishirikiana NATO wakiwaunga mkono ISIS. Sasa baada ya kudungua ndege ya urusi kisha kuomba msamaha basi wenzie ndio wakaanza kumketea njama.turkey kwasasa inatia huruma kwakweli maana imejikuta ipoipo tu haielewi hata inafanya nn....hata zile meeting na russia kule nafikiri amekua mtu wa kuitikia tu kila kiachoemwa yaan tangu yale mapinduz yaliyoshndwa uturuki hajielew elewi,IS wanaiandama,pkk nao wamechachamaa daah
Huyo si mbwiga tu tatizo virobaAcha kumsingizia Mungu mambo ya kijinga, hv hyo bunduki aliyobeba huyo Is hujui inatoka nchi gani?
Punguza virobaallah amewatuma sio makosa yao
Ni kweli mkuu, huyu Edorgan alikuwa hasikii wala haoni.Hao ISIS wamewageuka waturuki,kila siku assad alikuwa anawapigia kelele kuwa uturuki wanaruhusu hawa watu kupitisha silaha,sasa walipoona uturuki anaanza kuwageuka ndo maana nao wameanza kulipa kisasi,
ndo maana uturuki sikuhizi mabomu yanalipuka,
sasa wanazima mitandao kwa aibu,
jordan nao wanageukwa,mwanzo wao ndo walitoa hadi mafunzo kwa hawa watu huku marekani akiwapa silaha,
mmarekani anawaingiza chaka,
dawa iliyobaki wapigane watakapochoka wataacha wenyewe,ili heshima iwepo
Mkulu kishasema anaombea Malaika washuke kujakuizima hii mitandao....!!!Unaitaka video yanini huku nako unataka wazime?