Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
Hao jamaa wanawaua waislam wenzao zaidi kuliko hata wasio waislam Kama ulikuwa hujui.Halafu umesahau kuwa hao jamaa wamekuwa backed na US?Hapo anaye wachoma wenzie hivyo anaenda kuonja pepo na mabikira 70 na nguvu ya kutembea na wanawake 100 sijui kwa siku
Halafu na siku ya kiama na mimi nikawekwe jiko moja na hawa kwa dhambi zangu za uzinzi ? Hapana aisee kuna haja ya kuokoka
Allah Akbar