Serikali ya uingereza imekanusha kusema kwamba sumu ya novichok ilitoka nchini Urusi

Hahahahahaha,
Mkuu umewaza kimapana sanaaa, BIG UUUUP!
Kuna dada moja mzungu juzi alisema hivi kuhusu FISU tukacheka tu,
Lakini ukweli ni kwamba hata Ukraine nayo ina uwezo wa kutengeneza ile sumu tena na kuitumia bila shida.
Tena ambavyo Serikali yao imeparanganyika sasa hivi nalo linawezekana kabisa mkuu...Ndiyo yale yale ya ISRAEL mwaka 1967 kuzamisha USS LIBERTY ya Marekani na kutaka kumsingizia EGYPT ili Marekani amvamie lakini ikavuja.

NB: Mkuu umewaza mbali sanaaa hadi umeniogopesha,
Kipindi hiki FISU wanahusika sana na kufanya kazi chafu za kuuza silaha za USSR kwenye Black Market. Tena kuna Poland nao hawashindwi kabisa kufanya hizi figisu dhidi ya Urusi.

Palantir soma bandiko la #48 la Mkuu Chige.
EXACTLY!! Umetoa mfano hai kabisa... USS Liberty!! Na haya mambo yanafanyika sana kwenye intelligence world!! Na ukweli ni kwamba, mgogoro kama huu unainufaisha sana Ukraine!!

Na kama unainufaisha ni kwanini wasianzishe huku wakijua kabisa blames zitaenda kwa Russia!!

Rule of the Game: Kama humuwezi; mfitinishe na watemi wenzake kisha chukua popcorn; kaa kitako kucheki movie!!

Na hao Poland inawezekana kabisa!

Strong Russia with a strong man like Putin ni tishio kubwa sana kwa Poland!

Hawa hawapikiki na wala sioni kama watakuja kupikika chungu kimoja!

Na ni rahisi kwa Russia & Ukraine kuishi kwenye chumba kimoja kuliko Russia na Poland kuishi mtaa mmoja!

Huyu nae ana sababu lukuki za kumchonganisha Russia na NATO!
 
Very Possible mkuu,
Niliwaza hivi na mimi mwanzoni....!
Mkuu, unajua yaani nimetafakari sana kwa nini Uingereza iliamua kuibuka na kadhia hii!? Mbali na mitazamo mingine iliyokwisha kutolewa, lakini, nimefikiria mtizamo mwingine wa ziada.

Mtizamo huo ni kuwa, mwishoni mwa mwaka jana uhusiano wa kikazi kati ya T.May na B. Johnson (BoJo) haukua mzuri kabisa na inasemekana ilifikia May kutaka kumtimua lakini akaofia kuvunja chama chao na kuyumbisha serikali wakati wapo kwenye mazungumzo nyeti ya Brexit na EU. Sasa nadhani UK establishment watakuwa wanataka kumtimua BoJo hivyo wakaona wamuangushie zigo kwa staili hii na bahati mbaya BoJo anaonekana kichwani hayuko sawa sawa sana (ingawa alisomea kwenye shule ya kifahari) amekubali zigo limuangukie. Yaani hapa kuna mawili ama May ama BoJo ama wote watimuliwe!
-----
Toka mwanzo nilisema UK wamejiabisha.
 
Marekani siyo taifa la kawaida ndugu yangu,
Ndiyo maana mimi naogopa sana hasa kipindi hiki ambapo anapoteza ushawishi wake kwa kasi sana. Nahisi kuna siku atafanya jambo baya sana ili kutaka kuzuia anguko lake na akasababisha madhara makubwa sana sanaaaa.
Unasubiri marekani kuanguka! Angalia usije ukaanguka wewe na kuiacha marekani katika ubora wake
 
Safi sana umekomaa sana

Unakumbuka Putin alishawai kusema kamwe hawezi kumsamehe msaliti

Ilikuwaje UK wakakubali kubadilishana agents bila kuchukua taadhari ya hali ya juu

Unakumbuka yule aliyeuliwa kwa miale ya nyuklia na Russia mbona UK awakulalamika kiasi hiki

Hapa patakuwa na kitu

Na Putin kasema kama norvichok ingetumika basi yule jamaa angekufa pale pale
Upo sahihi kabisa!

And in my first theory, nauona huu mchezo ulianzia miezi kadhaa b4 Sergei Skripal hajakamatwa Russia back in 2004!

Ikumbukwe pamoja na Sergei, pia walikamatwa Gennadiy Vasilenko, Igor Sutyagin na Alexander Zaporozhsky kwa tuhuma zile zile... Double Agents working with MI6 or CIA.

Na kama ulivyosema; wakati Sergei anakuwa charged; Putin alitoa povu kweli kweli! Na tukio zima lilipata media coverage ya kutosha ndani ya Russia!!

So, in my first theory naona hii media coverage plus povu la Putin ilikuwa ni SVR's plan to prepare for something bigger!

Kwamba, akina Putin wanamwaga povu hadharani probably ili kutoa msisitizo wa ni namna gani mtu kama Sergei alivyo high profile agent!

In that theory, I believe Russia walikuwa wanaandaa leverage for the future deep cover operation... a come back operation baada ya ex-KGB Deep Cover operatives wengi kuwa wamerudi home au kuwa inactive (SLEEPERS) baada ya kwisha vita baridi!

So, I think wakati SVR wanapanga hayo, walifahamu in advance hatari iliyopo dhidi ya hao operatives!! Kwamba, wakidakwa in mission, wana leverage gani watakayotumia kuwanusuru!!

Hapa nadhani ndipo ulipokuja umuhimu wa akina Sergei!

Kwamba, hata baada ya kuwagundua ni MI6 Moles; GRU/Russia wakawafanya waendelee kuwazuga MI6 na CIA kwamba bado ni major assets kwao.

Na ndio maana haishangazi kuona ingawaje Sergei Skripal alishastaafu as GRU Officer lakini bado akapewa kazi nyingine foreign affairs probably ili aendelee kuwa in contact with MI6 & CIA huku akiendelea ku-leak possibly less harmful if not fabricated intel to MI6 hadi "alipokamatwa"! Kukamatwa ambako naamini ilikuwa ni spy game... mwanzo wa Bigger Espionage Program!!

HOW?!

Mtu kama Sergei alihukumiwa mwaka 2006.

Mwaka 2010, chini ya Operation Ghost Stories maarufu kama Illegals Program, FBI waliwadaka 10 Russian Deep Cover Operatives (10 Illegals).

Maarufu miongoni mwao ni Anna Chapman.

Hawa 10 Illegals wote walikutwa na hatia. Hata hivyo, wakaachiwa huru na kuwa deported to Russia baada ya kufanyika Spy Swap... 10 Russian Illegals for 4 Russian Double Agents including Sergei Skripal.

Now look... Double Agents wale wale ambao Russia iliwadaka ktk vipindi vinavyofanana ndio hao hao walitumika na Russia/SVR for Spy swap!

But look again... pamoja na povu lote la Putin wakati Sergei anakamatwa; bado Sergei anaishia hukumu ya kifungo!

Hukumu ya traitor sio kifungo bali kifo!

Hata hivyo wakamwacha hai wakijua kuna Sleeper Cell inasubiri kuwa activated lakini lazima uwe na leverage just in case anything happens!!

Wale 10 Russian Illegals walipopatikana na hatia; FBI wakawa wanalikumbuka vema povu la Vladimir Putin lililoonesha ni namna gani akina Sergei walikuwa high profile traitors!

Je, hapo utawalaumu FBI kuwaachia Majasusi 10 wa Kirusi in exchange of 4 Double Agents, Sergei Skripal inclusive!!

What then kama ni kweli SVR waliwashitukia akina Sergei in advance lakini wakaamua kuwatumia kuendelea kuwazuga MI6 & CIA to the right time in exchange of uhai wao !!

Again, what if miaka kadhaa baadae MI6 & CIA ndo wakaja kugundua kumbe yooooooote yale yalikuwa just a spy game iliyowafanya CIA kuwaachia Majasusi 10 wa Kirusi!!

Utamu zaidi, majasusi wenyewe wote ni Illegals with no diplomatic immunity lakini wao (CIA) wakaambulia akina Sergei ambao probably walikuwa part of the spy game!

Kama ndio, kumbe hata CIA and/or MI6 nao wanaweza kuwa na sababu za msingi kabisa za kutaka kumuua Sergei huku jumba bovu wakilidondoshea to Russian intelligence system!!

So, both theories... above theory na possible Ukraine involvement theory, zote zinathibitisha Sergei angeweza kuuawa na yeyote and not only Russia!

Huku MI6 & CIA ikiwa ni assumptions; Foreign Intelligence Service of Ukraine tayari wana sababu za kufanya hivyo ili kuwafitinisha Russia na NATO!!
 
Upo sahihi kabisa!

And in my first theory, nauona huu mchezo ulianzia miezi kadhaa b4 Russia hawajamkamata Sergei na kumuhukumu with high treason charges!

Ikumbukwe pamoja na Sergei,
Russia walikuwa pia wamewakamata Gennadiy Vasilenko, Igor Sutyagin na Alexander Zaporozhsky kwa tuhuma zile zile... Double Agents working with MI6 or CIA.

Na kama ulivyosema; wakati Sergei anakuwa charged; Putin alitoa povu kweli kweli! Na tukio zima lilipata coverage ya kutosha ndani ya Russia!!

So, in my first theory naona hii media coverage plus povu la Putin ilikuwa ni SVR's plan to prepare for something bigger!

Akina Putin wanamwaga povu hadharani probably ili kutoa msisitizo ni namna gani mtu kama Sergei alikuwa high profile agent!

In that theory, I believe Russia walikuwa wanaandaa leverage for the next deep cover operation... come back operation baada ya ex-KGB Deep Cover operatives wengi kuwa wamerudi home au inactive (SLEEPERS) after the end of cold war!!

So, I think wakati SVR wanapanga hayo, walifahamu in advance hatari iliyopo dhidi ya hao operatives!! Kwamba, wakidakwa in mission, wana leverage gani watakayotumia kuwanusuru!!

Hapa nadhani ndipo ulipokuja umuhimu wa akina Sergei!

Kwamba, hata baada ya kuwagundua ni MI6 Moles; GRU/Russia wakawafanya waendelee kuwazuga MI6 na CIA kwamba bado ni major assets kwao.

Na ndio maana haishangazi kuona ingawaje Sergei Skripal alishastaafu as GRU Intelligence Officer lakini bado akapewa kazi nyingine foreign affairs probably ili aendelee kuwa in contact with MI6 & CIA na akaendelea ku-leak info to MI6 hadi alipokamatwa! Kukamatwa ambako naamini ilikuwa ni mwanzo wa Bigger Espionage Program!!

HOW?!

Mtu kama Sergei alihukumiwa mwaka 2006.

Mwaka 2010, chini ya Operation Ghost Stories maarufu kama Illegals Program, FBI waliwadaka 10 Russian Deep Cover Operatives (10 Illegals). Maarufu miongoni mwao ni Anna Chapman.

Hawa 10 Illegals wote walikutwa na hatia. Hata hivyo, wakaachiwa huru na kuwa deported to Russia baada ya kufanyika Spy Swap... 10 Russian Illegals for 4 Russian Double Agents including Sergei Skripal.

Now look... Double Agents wale wale ambao Russia iliwadaka ktk vipindi vinavyofanana ndio hao hao walitumika na Russia/SVR for Spy swap!

But look again... pamoja na povu lote la Putin wakati Sergei anakamatwa; bado Sergei anaishia hukumu ya kifungo! Hukumu ya traitor sio kifungo bali kifo! Hata hivyo wakamwacha hai wakijua kuna Sleeper Cell inasubiri kuwa activated lakini lazima uwe na leverage just in case anything happens!!

Wale 10 Russian Illegals walipopatikana na hatia; FBI wakawa wanalikumbuka vema povu la Vladimir Putin lililoonesha ni namna gani akina Sergei walikuwa high profile traitors!

Je, hapo utawalaumu FBI kuwaachia Majasusi 10 wa Kirusi in exchange of 4 Double Agents, Sergei Skripal inclusive!!

What then kama ni kweli SVR waliwashitukia akina Sergei in advance lakini wakaamua kuwatumia kuendelea kuwazuga MI6 & CIA to the right time in exchange of uhai wao !!

Again, what if miaka kadhaa baadae MI6 & CIA ndo wakaja kugundua kumbe yooooooote yale yalikuwa just a spy game iliyowafanya CIA kuwaachia Majasusi 10 wa Kirusi!! Utamu zaidi, majasusi wenyewe ni Illegals with no diplomatic cover lakini wao wakaambulia akina Sergei ambao probably walikuwa part of the spy game!

Kama ndio, kumbe CIA and/or MI6 nao wana sababu za msingi kabisa za kutaka kumuua Sergei huku wakiwadondoshea jumba bovu Russia!!

So, both theories... above theory na possible Ukraine involvement theory, zote zinathibitisha Sergei angeweza kuuawa na yeyote and not only Russia!

Huku MI6 & CIA ikiwa ni assumptions; Foreign Intelligence Service of Ukraine tayari wana sababu za kufanya hivyo!
Teh teh teh,
Palantir you may wanna read this.
 
Back
Top Bottom