Masapy
Member
- Apr 2, 2018
- 44
- 30
Safi kwa jeshi kutotumika kisiasa ila sio majeshi yetu yanavyotumika hovyo ni aibu tuSiku zote nasema, hawa jamaa watafanya chochote kuhakikisha maslahi yao haya athiriwi au yanaboreshwa.
Toka mwanzo nguvu kubwa ilikua inatumika kuichafua Urusi na kuhamasisha nchi nyingine kuchukua hatua dhidi ya Urusi kwa hii tuhuma huku warusi wakishinikiza uchunguzi huru ufanyike na majibu yaonyeshe uhusika wao, cha ajabu masusio ya kombe la dunia na kufurumusha wanadiplomasia wa kirusi ndio ikapewa kipaumbele.
Kuna mambo mengi sana yamejificha juu ya hili sakata, unaweza kukuta ni mchezo wa hao hao Waingereza walitaka kumuuzia kesi na kumchafua Mrusi, hata kwa wenzetu kuna wakati mipango inagoma kwenda kama ilivyopangwa.
Uzuri wataalam wa jeshi limegomakutumika kisiasa.