Serikali ya uingereza imekanusha kusema kwamba sumu ya novichok ilitoka nchini Urusi

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Jul 26, 2012
20,897
63,408
Habari za hivi punde,
Wizara ya mambo ya nje ya Uingereza imekanusha usemi ambao unadai kwamba wao walisema ile sumu ya Novichok imetokea nchini Urusi. Hili limekuja baada ya Wanasayansi wa jeshi nchini Uingereza kudai kwamba wamepima na hawajui ile sumu imetokea nchi gani tofauti kabisa na ambavyo Serikali kupitia Wizara yake ya mambo ya nje imedai.

Sambamba na hilo,
Wizara ya Mambo ya nje inasema imefuta kabisa ile Tweet ambayo ilikuwa inadai kwamba Urusi wamehusika na hili jambo. Pia Warusi wamesema kwamba Organization Against Chemical Weapons (OACW) inabidi iwahusishe Warusi katika huo uchunguzi wao ili kuzuia Uingereza kuharibu na ushahidi.

MASWALI:
1. Kwanini Serikali ya Uingereza inajikanyaga katika hili ???
2. Hivi hata kule Syria Assad alitumia silaha za sumu kweli au nako walikurupuka tu ???
3. Je, tunatakiwa tuwaamini hawa watu na vyombo vyao vya habari wakati wana ndimi mbili ??
4. Je, kwanini walikuwa radhi kuhatarisha Usalama wa dunia kwa madai yasiyo na ushahidi ???
5. Nchi ndogo za Afrika ambazo hazina vyombo vikubwa vya habari tutakuwa tumesingiziwa mangapi kwa tabia hii ya kukurupuka ???

CHANZO:UK Foreign Office denies claiming nerve agent from Russia, despite tweet and Boris Johnson interview

====================================
UPDATES:
Imefahamika na wataalamu kwamba sumu ya Novichok inaweza kutengenezwa na mataifa zaidi ya Ishirini hapa duniani.


NB: Raisi wa Urusi V.Putin kasema haitaji Urusi iombwe msamaha kuhusiana na kuchafuliwa kwa Urusi katika hii skandali, bali akili ya kawaida (Common Sense itumike)

Chanzo: We don’t want apologies, we want common sense to triumph – Putin on Skripal saga
========================================
UPDATES:
Urusi imeitisha kikao cha dharura cha Baraza la Ulinzi na Usalama la Umoja wa Matifa ili kuzungumzia suala la jaribio la mauji ya Skripal na bintiye. Balozi wa kudumu wa Urusi kamwandikia Raisi wa Baraza hili kwamba matumizi hayo ya kemikali za sumu hayakubaliki popote pale duniani.

Chanzo:Russia calls for UN Security Council meeting over Skripal affair

CC: TUJITEGEMEE , Palantir , zitto junior , weed , BlackPanther, Red Giant, Victor wa happy
 
Siku zote nasema, hawa jamaa watafanya chochote kuhakikisha maslahi yao haya athiriwi au yanaboreshwa.
Toka mwanzo nguvu kubwa ilikua inatumika kuichafua Urusi na kuhamasisha nchi nyingine kuchukua hatua dhidi ya Urusi kwa hii tuhuma huku warusi wakishinikiza uchunguzi huru ufanyike na majibu yaonyeshe uhusika wao, cha ajabu masusio ya kombe la dunia na kufurumusha wanadiplomasia wa kirusi ndio ikapewa kipaumbele.

Kuna mambo mengi sana yamejificha juu ya hili sakata, unaweza kukuta ni mchezo wa hao hao Waingereza walitaka kumuuzia kesi na kumchafua Mrusi, hata kwa wenzetu kuna wakati mipango inagoma kwenda kama ilivyopangwa.
Uzuri wataalam wa jeshi limegomakutumika kisiasa.
 
Habari za hivi punde,
Wizara ya mambo ya nje ya Uingereza imekanusha usemi ambao unadai kwamba wao walisema ile sumu ya Novichok imetokea nchini Urusi. Hili limekuja baada ya Wanasayansi wa jeshi nchini Uingereza kudai kwamba wamepima na hawajui ile sumu imetokea nchi gani tofauti kabisa na ambavyo Serikali kupitia Wizara yake ya mambo ya nje imedai.

Sambamba na hilo,
Wizara ya Mambo ya nje inasema imefuta kabisa ile Tweet ambayo ilikuwa inadai kwamba Urusi wamehusika na hili jambo. Pia Warusi wamesema kwamba Organization Against Chemical Weapons (OACW) inabidi iwahusishe Warusi katika huo uchunguzi wao ili kuzuia Uingereza kuharibu na ushahidi.

MASWALI:
1. Kwanini Serikali ya Uingereza inajikanyaga katika hili ???
2. Hivi hata kule Syria Assad alitumia silaha za sumu kweli au nako walikurupuka tu ???
3. Je, tunatakiwa tuwaamini hawa watu na vyombo vyao vya habari wakati wana ndimi mbili ??
4. Je, kwanini walikuwa radhi kuhatarisha Usalama wa dunia kwa madai yasiyo na ushahidi ???
5. Nchi ndogo za Afrika ambazo hazina vyombo vikubwa vya habari tutakuwa tumesingiziwa mangapi kwa tabia hii ya kukurupuka ???

CHANZO:UK Foreign Office denies claiming nerve agent from Russia, despite tweet and Boris Johnson interview

CC: TUJITEGEMEE , Palantir , zitto junior , weed , BlackPanther, Red Giant
KUna watu humu wanamsujudia uingereza na marekani hata kuzidi Mungu
 
Hapo wanathibitisha jambo moja kwa namna nyingine!

Kwamba, yeyote among military players anaweza kuipata hiyo sumu!! Kwamba, kuwa ni bidhaa ya Kirusi haimaanishi ni Warusi tu ndio wanaweza kuwa nayo!

So, kama anyone among the players anaweza kuipata hiyo sumu; kwanini ionekane ni Russia pekee ndio wanaweza wakawa wamehusika?!

Jibu la haraka ni kwamba Russia ndio wanaweza kuwa na interest na Sergei Skripal!

Kama ndivyo, kwanini ionekane ni Russia peke yao ndio walikuwa interested na Sergei wakati jamaa alikuwa ni Double Agent?

What if wakati MI6 wanadhani Sergei ni wao; GRU walimshitukia kwamba alikuwa anatoa siri kwa MI6 lakini "salama" yake aendelee kuwatumikia MI6 with fabricated or less harmful Intel ili mradi tu MI6 waendelee kumuamini kumbe huku akiwadukua mdogo mdogo in favor of Mother Russia!

Kwamba, hata Sergei alipokuja kukamatwa baadae na kuwa charged with high treason charges; yote hayo ilikuwa ni GRU play!!

But miaka kadhaa baadae, MI6 wanagundua kumbe miaka yote hii walikuwa wanachezewa na GRU wakisaidiwa na Sergei anayeishi kwa pesa za Walipa kodi wa UK!

What if MI6 au washirika wake hawakuweza kuvumilia kufanywa maboya kiasi hicho na kuamua kumpeleka Sergei alikostahili kupelekwa!

But HOW? "Genius" way ni kutumia Russia's killing machine with SVR's assassination style ili kuwa-set up the Russians!
 
Siku zote nasema, hawa jamaa watafanya chochote kuhakikisha maslahi yao haya athiriwi au yanaboreshwa.
Toka mwanzo nguvu kubwa ilikua inatumika kuichafua Urusi na kuhamasisha nchi nyingine kuchukua hatua dhidi ya Urusi kwa hii tuhuma huku warusi wakishinikiza uchunguzi huru ufanyike na majibu yaonyeshe uhusika wao, cha ajabu masusio ya kombe la dunia na kufurumusha wanadiplomasia wa kirusi ndio ikapewa kipaumbele.

Kuna mambo mengi sana yamejificha juu ya hili sakata, unaweza kukuta ni mchezo wa hao hao Waingereza walitaka kumuuzia kesi na kumchafua Mrusi, hata kwa wenzetu kuna wakati mipango inagoma kwenda kama ilivyopangwa.
Uzuri wataalam wa jeshi limegomakutumika kisiasa.

Jeshi linamtazamo mpana sana
Wao wanataka kama wanakufa wafe wakiwa wanatetea raia wenye haki, ndio maana majeshi makin huwa hayaingilii mambo ya kisiasa kama vyombo vengine vya ulinzi vinavyo fanya kazi na Rais wa wanchi.

Jeshi linajua tamaa zao zakipumbavu wao ndio wataingia vitan kupoteza dam zao kwa sababu za kishenzi, ndio maana wanakuwa smart.

Hali ilivyo Russia kila taifa linataka kuonesha meno kwao hata vitaifa vidogo, kitu ambacho kinachochea hasira sana kwa wa Russia hasa wanajeshi wao jambo ambalo ni hatar sana kwa usalama wa dunia

Ndio maana mzee alitest mashine yake wiki iliyo pita kuonyesha anaweza kuharibu kila kitu na kuleta majito yasiyo koma.

Lakin jambo hili na unafki wa Uweingereza unampa hasira sana Mbaya wake wa Kihistoria Ugeruman na kuona kushirikiana na Uwingireza ni kujirudisha nyuma yeye anaetaka kuongeza nguvu ya nishart ktk kukucha chumi wake na watu wake pasipo mipaka
 
Hapo wanathibitisha jambo moja kwa namna nyingine!

Kwamba, yeyote among military players anaweza kuipata hiyo sumu!! Kwamba, kuwa ni bidhaa ya Kirusi haimaanishi ni Warusi tu ndio wanaweza kuwa nayo!

So, kama anyone among the players anaweza kuipata hiyo sumu; kwanini ionekane ni Russia pekee ndio wanaweza wakawa wamehusika?!

Jibu la haraka ni kwamba Russia ndio wanaweza kuwa na interest na Sergei Skripal!

Kama ndivyo, kwanini ionekane ni Russia peke yao ndio walikuwa interested na Sergei wakati jamaa alikuwa ni Double Agent?

What if wakati MI6 wanadhani Sergei ni wao; GRU walimshitukia kwamba alikuwa anatoa siri kwa MI6 lakini "salama" yake aendelee kuwatumikia MI6 with fabricated or less harmful Intel ili mradi tu MI6 waendelee kumuamini kumbe huku akiwadukua mdogo mdogo in favor of Mother Russia!

Kwamba, hata Sergei alipokuja kukamatwa baadae na kuwa charged with high treason charges; yote hayo ilikuwa ni GRU play!!

But miaka kadhaa baadae, MI6 wanagundua kumbe miaka yote hii walikuwa wanachezewa na GRU wakisaidiwa na Sergei anayeishi kwa pesa za Walipa kodi wa UK!

What if MI6 au washirika wake hawakuweza kuvumilia kufanywa maboya kiasi hicho na kuamua kumpeleka Sergei alikostahili kupelekwa!

But HOW? "Genius" way ni kutumia Russia's killing machine with SVR's assassination style ili kuwa-set up the Russians!
Je, mchezo kama huu, unaweza kuwa ndio unaofanyika na watu wasiojulikana, ili serikali yetu ionekane ndiyo inayohusika na hivyo kufarakanishwa na wananchi wake? Au kujenga sababu za kuhalalisha mataifa ya nje kuiingilia nchi yetu ili kukidhi matakwa ya wazungu (rejelea mashtaka ya akina Lema - Chadema kwa balozi wa EU)?
Very interesting!
 
Ikumbukwe kuwa huyu shushu alishageuka mzigo kwa uingereza, hakuwa na faida tena.
 
Hapo wanathibitisha jambo moja kwa namna nyingine!

Kwamba, yeyote among military players anaweza kuipata hiyo sumu!! Kwamba, kuwa ni bidhaa ya Kirusi haimaanishi ni Warusi tu ndio wanaweza kuwa nayo!

So, kama anyone among the players anaweza kuipata hiyo sumu; kwanini ionekane ni Russia pekee ndio wanaweza wakawa wamehusika?!

Jibu la haraka ni kwamba Russia ndio wanaweza kuwa na interest na Sergei Skripal!

Kama ndivyo, kwanini ionekane ni Russia peke yao ndio walikuwa interested na Sergei wakati jamaa alikuwa ni Double Agent?

What if wakati MI6 wanadhani Sergei ni wao; GRU walimshitukia kwamba alikuwa anatoa siri kwa MI6 lakini "salama" yake aendelee kuwatumikia MI6 with fabricated or less harmful Intel ili mradi tu MI6 waendelee kumuamini kumbe huku akiwadukua mdogo mdogo in favor of Mother Russia!

Kwamba, hata Sergei alipokuja kukamatwa baadae na kuwa charged with high treason charges; yote hayo ilikuwa ni GRU play!!

But miaka kadhaa baadae, MI6 wanagundua kumbe miaka yote hii walikuwa wanachezewa na GRU wakisaidiwa na Sergei anayeishi kwa pesa za Walipa kodi wa UK!

What if MI6 au washirika wake hawakuweza kuvumilia kufanywa maboya kiasi hicho na kuamua kumpeleka Sergei alikostahili kupelekwa!

But HOW? "Genius" way ni kutumia Russia's killing machine with SVR's assassination style ili kuwa-set up the Russians!

Very Possible mkuu,
Niliwaza hivi na mimi mwanzoni....!
 
Habari za hivi punde,
Wizara ya mambo ya nje ya Uingereza imekanusha usemi ambao unadai kwamba wao walisema ile sumu ya Novichok imetokea nchini Urusi. Hili limekuja baada ya Wanasayansi wa jeshi nchini Uingereza kudai kwamba wamepima na hawajui ile sumu imetokea nchi gani tofauti kabisa na ambavyo Serikali kupitia Wizara yake ya mambo ya nje imedai.

Sambamba na hilo,
Wizara ya Mambo ya nje inasema imefuta kabisa ile Tweet ambayo ilikuwa inadai kwamba Urusi wamehusika na hili jambo. Pia Warusi wamesema kwamba Organization Against Chemical Weapons (OACW) inabidi iwahusishe Warusi katika huo uchunguzi wao ili kuzuia Uingereza kuharibu na ushahidi.

MASWALI:
1. Kwanini Serikali ya Uingereza inajikanyaga katika hili ???
2. Hivi hata kule Syria Assad alitumia silaha za sumu kweli au nako walikurupuka tu ???
3. Je, tunatakiwa tuwaamini hawa watu na vyombo vyao vya habari wakati wana ndimi mbili ??
4. Je, kwanini walikuwa radhi kuhatarisha Usalama wa dunia kwa madai yasiyo na ushahidi ???
5. Nchi ndogo za Afrika ambazo hazina vyombo vikubwa vya habari tutakuwa tumesingiziwa mangapi kwa tabia hii ya kukurupuka ???

CHANZO:UK Foreign Office denies claiming nerve agent from Russia, despite tweet and Boris Johnson interview

CC: TUJITEGEMEE , Palantir , zitto junior , weed , BlackPanther, Red Giant
Tumewaamini. Tuendelee kuwaamini.
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom