JPM akiipata hiyo
" Nimesikia ndugu zangu waislamu mmewekewa masharti kwamba mwaka huu hauwezi kwenda kuhiji mpk uwe umechanjwa, Hao ndiyo viongozi wetu wa kiroho tulio nao leo yaani wanawazuia watu kisa ugonjwa, nilikuwa nachombeza na Mufti hapa kwani hatuwezi kujenga hiyo sehemu ya kuhiji kama ile ya Makka kule kisarawe kwa Mh Jafo ili na wao huko waje kuhiji hapa Tanzania kwa watani zangu wazaramo na fedha hizo zipo maana mambo mengine aah basi tu"
Mkuu serikali ya saudia ni genge la wahuni,,waliojivika joho la uislam..
Hii serikali ya kifalme hakuna inchi yeyote ya kiislam inayokubaliana nayo zaidi ya mataifa ya magharibi..
Hill genge la wahuni la saudia limekuwa likifanya mambo kadhaa ya kinyume na haki za binadamu kwa Yemeni kwa miaka kadhaa.
--Mfano kuendelea kushambulia Yemen,, haswa kwenye makazi ya raia na kuua watu wasio na hatia.
Bila kujali Wanawake na watoto.
Tena ikipata baraka zote za marekani,, kwa kuwauzia silaha za technology ya hali ya juu,,saudia iendelee kuipiga Yemen na kuikandamiza.
-- kuweka kambi za kijeshi kwnye bandari kadhaa kwenye mpaka kuzuia watu wa haki za binadamu kupeleka misaada Yemen..
Mkuu ukiona kwa macho wanayofanya saudia kwa Yemen,,yanasikitisha sana.
Tena waislam wenzao,,
Dini inasema ndugu wa muislam ni muislam mwenzie,,
Huo udugu upo wapi hapo?
Pasi na shaka huu utawala wa saudia ni genge la wahuni lililojivika joho la waislam.
Ukijumlisha na mauaji ya KASHOGI..
Hawafai hata kidogo..
Wanachokifanya wao ni kufata amri za mabwana zao marekani.
Na kuweka sheria za Mungu pembeni.
Wametoa mambo mengi ya kiislam na kuweka utamaduni wa kimagharibi..
Saudia ile inayopambwa kwenye vitabu vitakatifu. ,,sio hii iliyopo Leo..
Chochote kinachoendelea saudia kimepata baraka zote za mataifa ya magharibi..