Serikali ya Samia Imewezesha Mashirika ya Umma Yaliyokuwa yanaleta Hasara Kujiendesha Kwa Faida.Yamo TANESCO na TRC

Serikali ya Samia Imewezesha Mashirika ya Umma Yaliyokuwa yanaleta Hasara Kujiendesha Kwa Faida.Yamo TANESCO na TRC

My Take
Samia ataendelea kusalia kama Rais aliyefanikiwa sana kwenye nyanja ya Uchumi na biashara hapa Tanzania.

Mageuzi aliyoyafanya kwenye mashirika haya ya Umma yamefaulu ,hatutegemei tena hasara huko tuendko.

Bado mashirika machache sana mfano Air Tanzania na TTCL.

Pia soma Ojambi Masaburi: Rais Samia amebadili historia mbaya ya Tanesco kutoka kuleta hasara hadi kuingiza na kutoa gawio kwa Serikali | JamiiForums Ojambi Masaburi: Rais Samia amebadili historia mbaya ya Tanesco kutoka kuleta hasara hadi kuingiza na kutoa gawio kwa Serikali
================
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema imeridhishwa na hali ya uzalishaji wa umeme , ambapo sasa nchi ina uwezo wa kuzalisha jumla ya megawati 4,400 huku matumizi yakiwa ni megawati 2,071 hatua ambayo imeendelea kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme.

Hayo yamejiri Februari 20,2026 baada ya Kamati hiyo kufanya ziara ya kukagua miradi ya umeme katika Mkoa wa Dar es Salaam, ambapo imetembelea Kituo cha Kusafirisha Umeme kwenda Zanzibar cha Ras Kilomoni na Kituo cha kuzalisha Umeme kwa Gesi Asilia cha Kinyerezi I na II.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Subira Mgalu, amesema kumekuwa na maendeleo makubwa katika eneo la uzalishaji wa umeme, na sasa TANESCO inaendelea na jitihada za kujenga njia za kusafirisha umeme, ikiwemo ya kutoka Bwawa la Julius Nyerere hadi Chalinze, kisha Kinyerezi hadi Mkuranga, eneo lenye viwanda vingi vya uzalishaji.
View attachment 3546701


“Tunaipongeza sana TANESCO kwa utekelezaji wa miradi ya umeme. Ile hali ya kukatika kwa umeme imepungua, na sasa hakuna mgao. Kamati inashauri kuwa nguvu kubwa sasa itumike katika kuhakikisha umeme unamfikia mlaji wa mwisho, hususani katika maeneo ya viwanda na migodi,” alifafanua Subira.
Ukituletea uzi kutujuza about the person who ordered the 2025 random killing of thousands of innocent civilians tutakuelewa.

Otherwise, faki zati demon-possessed bichi.
 
Ukisikia hizo faida kwa mashirika ujue mwananchi ndiye anaumia wala siyo suala la kuchekelea labda kama mtu anaishi kwa shemeji yake!

Mfano:Ukihitaji nguzo moja kuunganisha umeme kwa sasa ni 520,000/= hii ni Jan 2026.

Ukiunganishwa leo Feb 20 basi ukinunua LUKU mara ya kwanza unakatwa kodi ya jengo ya toka mwaka huu wa fedha umeanza ie July 2025! Haijalishi jengo lilikuwepo au la!

NB: Mwanzoni tuliambiwa fulani hataki kodi za dhulma.
😁

BTW: ATCL nayo imeanza kutengeneza faida??
Upo sahihi mkuu kuna walakini kwenye faida zao, mwananchi anabamizwa ili shirika lipate faida, na hizi habari nadhani maelekezo yanatoka kwa serikali, haiwezekani mashirika yawe na viburi namna hii
 
Upo sahihi mkuu kuna walakini kwenye faida zao, mwananchi anabamizwa ili shirika lipate faida, na hizi habari nadhani maelekezo yanatoka kwa serikali, haiwezekani mashirika yawe na viburi namna hii
Anabamizwaje wakati bei za unit zinajukikana?
 
Kuamini machawa wanachoongea ni kuikosea akili yako.
Machawa Walisema shirika linapata hasara unaamini ila likipata faida huamini.

Nyumbu wa Chadomo mtapata tabu sana Kila dream yenu haifaulu.
 
Ukituletea uzi kutujuza about the person who ordered the 2025 random killing of thousands of innocent civilians tutakuelewa.

Otherwise, faki zati demon-possessed bichi.
Inahusikaje n mada? In fact ningekuwa kwenye position hiyo ningeoda na kuongoza harakati.

Wahuni wote hawatakiwi kuachwa wahatibu Nchi.
 
Mie nijuavyo, hakuna rais wa hovyo tuliyewahi kumpata kama huyu, hata namna aluvyoapishwa tu inaakisi kbs uhalisia huo!.
Pia huyu ni rais pekee ktk historia ya marais wetu aliyewahi kufeli form 4 kwa kuambulia D somo moja tuu ya kiswahili!.
Kwa kifupi hana akili ya kufanya shirika lolote la umma lijiendeshe kwa faida zaidi ya ufisadi kuongezeka kwa kudanganywa kibwege!
 
My Take
Samia ataendelea kusalia kama Rais aliyefanikiwa sana kwenye nyanja ya Uchumi na biashara hapa Tanzania.

Mageuzi aliyoyafanya kwenye mashirika haya ya Umma yamefaulu ,hatutegemei tena hasara huko tuendko.

Bado mashirika machache sana mfano Air Tanzania na TTCL.

Pia soma Ojambi Masaburi: Rais Samia amebadili historia mbaya ya Tanesco kutoka kuleta hasara hadi kuingiza na kutoa gawio kwa Serikali | JamiiForums Ojambi Masaburi: Rais Samia amebadili historia mbaya ya Tanesco kutoka kuleta hasara hadi kuingiza na kutoa gawio kwa Serikali
================
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema imeridhishwa na hali ya uzalishaji wa umeme , ambapo sasa nchi ina uwezo wa kuzalisha jumla ya megawati 4,400 huku matumizi yakiwa ni megawati 2,071 hatua ambayo imeendelea kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme.

Hayo yamejiri Februari 20,2026 baada ya Kamati hiyo kufanya ziara ya kukagua miradi ya umeme katika Mkoa wa Dar es Salaam, ambapo imetembelea Kituo cha Kusafirisha Umeme kwenda Zanzibar cha Ras Kilomoni na Kituo cha kuzalisha Umeme kwa Gesi Asilia cha Kinyerezi I na II.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Subira Mgalu, amesema kumekuwa na maendeleo makubwa katika eneo la uzalishaji wa umeme, na sasa TANESCO inaendelea na jitihada za kujenga njia za kusafirisha umeme, ikiwemo ya kutoka Bwawa la Julius Nyerere hadi Chalinze, kisha Kinyerezi hadi Mkuranga, eneo lenye viwanda vingi vya uzalishaji.
View attachment 3546701


“Tunaipongeza sana TANESCO kwa utekelezaji wa miradi ya umeme. Ile hali ya kukatika kwa umeme imepungua, na sasa hakuna mgao. Kamati inashauri kuwa nguvu kubwa sasa itumike katika kuhakikisha umeme unamfikia mlaji wa mwisho, hususani katika maeneo ya viwanda na migodi,” alifafanua Subira.
Hakuna AKILI yoyote hapo, labda kwa MAZWAZWA kama wewe.

TANESCO inapata inachokiita FAIDA kwasababu MADENI yake yote yalichukuliwa na SERIKALI KUU.

Hata DENI la Trilioni 6 la Bwawa La Nyerere halilipwi na TANESCO.


Na kwa TRC ni the same SCRIPT. Gharama zote za MRADI wa SGR zinalipwa na serikali na siyo TRC.

Hakuna ROCKET SCIENCE hapo.
 
Mie nijuavyo, hakuna rais wa hovyo tuliyewahi kumpata kama huyu, hata namna aluvyoapishwa tu inaakisi kbs uhalisia huo!.
Pia huyu ni rais pekee ktk historia ya marais wetu aliyewahi kufeli form 4 kwa kuambulia D somo moja tuu ya kiswahili!.
Kwa kifupi hana akili ya kufanya shirika lolote la umma lijiendeshe kwa faida zaidi ya ufisadi kuongezeka kwa kudanganywa kibwege!
Ni mtizamo wako lakini vipi miradi unayoona inafanana na mtizamo wako?
 
ChawaVariable kama shirika la reli limepata hasara mwaka jana tu bilioni 224 haliwezi ndani ya miezi 11 litengeneze faida ghafi huo uongo pelekea vilaza wenzio huko Lumumba.
images (47).jpeg
 
Huu ni uwongo mkuu ambao unaenezwa na machawa katika majoho yao ya uteuzi TANESCO na TRC
 
Back
Top Bottom