Serikali ya nchi ya chitchat

Serikali ya nchi ya chitchat

Mungi

JF Gold Member
Joined
Sep 23, 2010
Posts
16,975
Reaction score
9,580
Ndoto zingine sijui inamaanisha nini.
ifuatayo ndo list ya uongozi wa nchi ya chitchat!
1. Arushaone - rais
2. Blaki Womani - makamu rais
3. PakaJimmy - PM
4. Filipo - waziri wa maji
5. LiverpoolFC - waziri wa michezo
6. Lily Flower - waziri mali asili
7. Erickb52 - waziri wa jinsia wanawake na wtt
8. Asprin - waziri wa afya
9. Mungi - waziri wa fedha, mambo ya nje, nishati na madini, ujenzi na viwanda na biashara.
10 Mr Rocky - sheria na katiba
11 Preta - IGP
12 sweetlady - waziri ofisi ya waziri wa fedha
13 King'asti - waziri ofisi ya waziri wa nishati
14 Madame B - waziri ofisi ya waziri wa ujenzi
15 Kipipi - waziri ofisi ya waziri wa viwanda
16 Zinduna - waziri wa habari michezo
17 Ruttashobolwa - waziri wa mazingira
18 Judgement - chief justice
19 marejesho - AG
20 Mzee wa Rula - waziri wa elimu
21 manoah (rest in server) - waziri wa ulinzi
22 Smile - waziri wa sayansi
23 Dark City - mkuu wa magereza
24 Kaizer - kilimo
25 watu8 - mkuu wa majeshi
26 FirstLady1 - TISS

NB:
maswali kuhusu kwanini warembo kibao wizara ya fedha, nishati, viwanda na mambo ya nje hayatajibiwa.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo nchi ya Chit Chat rais ataipeleka kubaya, ukifanyika uchanguzi mwingine ni lazima apinduliwe.
 
Halafu kwa nini wewe umejipa wizara nyingi ndani ya wizara moja, IGP Preta kwa nini usiamrishe vijana wako wamkwamishe huyu waziri fisadi????


9. Eti Mungi - waziri wa fedha, mambo ya nje, nishati na madini, ujenzi na viwanda na biashara. Nchi haitatawalika kabisa.
 
nataka tu nijue wapi ikulu...kuna maandamano nataka niyafikishe hapo
 
Hiyo nchi ya Chit Chat rais ataipeleka kubaya, ukifanyika uchanguzi mwingine ni lazima apinduliwe.
Umeonae! Naunga mkono hoja, rais gani anashinda bar akitandika ndyofu? Mungi hiyo ndoto yako ni batili.
 
Last edited by a moderator:
Halafu kwa nini wewe umejipa wizara nyingi ndani ya wizara moja, IGP Preta kwa nini usiamrishe vijana wako wamkwamishe huyu waziri fisadi????


9. Eti Mungi - waziri wa fedha, mambo ya nje, nishati na madini, ujenzi na viwanda na biashara. Nchi haitatawalika kabisa.

wizara zote ntazimudu mkuu angalia warembo wengi waliorundikwa kwenye wizara yangu.......... mpaka Madame B nammiliki hahaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Ubaguzi..... Ubaguzi.......... Ubaguzi...... Kwanini umebase kwa Arusha Wings? Hasa vyeo vya juu? Ndiyo kusemaje?
 
Hujaota kuwa kuna Peoples Power katika nchiiiiiiiiii yetu ya Chit Chat????

hii ndo peoples power mkuu........... afu we unatakiwa kuzalisha wajinga kwa wingi kuwa makini manake upo kwenye wizara nyeti
 
Ubaguzi..... Ubaguzi.......... Ubaguzi...... Kwanini umebase kwa Arusha Wings? Hasa vyeo vya juu? Ndiyo kusemaje?

hahaaaaaa afu arusha ndo makao makuu ya chitcha.
nawe Nyakwaratony subiria uteuzi wa wakuu wa mikoa sawa!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Dady unipitie nishaandaa mabango yangu! Haiwezekani Mungi ajilundikie mawizara yote hayo!

afu we sweetlady upo chini ya wizara yangu ujue. mko warembo wengi kwenye wizara nnazoziongoza mnatakiwa kunisaidia sawa?
 
Last edited by a moderator:
Mawaziri wote wanaotaka kuleta uasi wote wafutwe kazi mara moja! Kauli ya rais ni AMRI.
 
Back
Top Bottom