Kuna fununu kwamba Rais Kikwete anafikiria kuunda Serikali ya Mseto kwa kuwaingiza baadhi ya wapinzani ktk baraza la mawaziri akiwemo waziri mkuu!! lakini sijui kama katiba inaruhusu ingawaje ni jambo zuri ikiwa tu CHADEMA watakubali kujiunga na serikali hiyo lakini sitapendelea kama CUF nao wajiunge kwani kutakuwa hakuna upinzani bungeni!