Jana nilileta hii habari moods mkafuta ,mpaka walete watu wenu mnaowataka ,mbona ni taarifa ileile.
Mapesa tunayo meengi saaaana kwanini tukakope huko kwny ma riba ya ajabu ajabu wkt pesa zetu za ndani zinaweza kutekeleza miradi hii-Bana NkubwaHapo juu sifahamu una maana gani. Kila nchi ina kopa na wanajenga nchi yao. Hakuna nchi ambayo inasema tumejenga kwa pesa ya kukopa au nchi inayosema tumejenga kwa pesa za kukopa. Wewe binafsi unapotumia pesa za kukopa huwa unalipa kwa miaka kadhaa huwa husemi hizi pesa ninazotumia sio zangu. Akili za kikasuku.
Wewe unaniletea upuuzi wa credit card. Credit cards anazo bwana wako anayejiita mzalendo.
Duh..sawa...mwenye akili pana..Akili zako ni finyu sana, sioni hata haja mtu yeyote kujitokeza kukupa ufafanuzi
Hakuna anayesema kuwa serikali hazikopi ila hii serikali imekuwa na kawaida ya kudanganya wananchi wake kuwa miradi hii imekuwa ikifadhiliwa kwa pesa za ndani wakati wakijua fika kuwa huo ni uongo wa wazi kabisa.Tatizo lako ni kuwa mjinga, hakuna nchi ambayo haikopi. Nilikuwekea Credit Card kukuonyesha mifano hai lakini naongea na robot.
Government borrowing ballooned to £62 BILLION in April to bail out Britain in coronavirus crisis
Hahah daah duniani kooote it is only in Tz(awamu ya 5) ambapo definition ya NTERNAL REVENUES iko kivyake vyake.
Kumbe unaelewa. Kuwa hakuna nchi isiyokopa eeh! Dona kantri isiyokpa imepotelea wapi? Bela za mikopo kwa hiyo ndiyo fedha zenuTatizo lako ni kuwa mjinga, hakuna nchi ambayo haikopi. Nilikuwekea Credit Card kukuonyesha mifano hai lakini naongea na robot.
Government borrowing ballooned to £62 BILLION in April to bail out Britain in coronavirus crisis
Mjinga Ni we we unayejaribu kuaminisha kuwa hela za mikopo Ni zako.Tatizo lako ni kuwa mjinga, hakuna nchi ambayo haikopi. Nilikuwekea Credit Card kukuonyesha mifano hai lakini naongea na robot.
Government borrowing ballooned to £62 BILLION in April to bail out Britain in coronavirus crisis
Lijualikali ndiye aliyesema miradi inagharamiwa kwa fedha za ndani eeh!? Sasa naelewa hats ile 1.5 trilioni ilikopotelea.Nawashangaa wafuasi wa CHADEMA humu JF, hasa wewe heradius12 na kundi lako (mnajijua, kushupalia Serikali kukopa wakati mnatambua, kwa kusikia na kuona, miradi ya maendeleo inayotekelezwa. Je, CHAMA chenu kiko safi? Viongozi wenu wanapogama na kusema ukweli mnawakashifu kwa kila lugha.
Leo Lijuakali, Mbunge wao aliyejiengua amakivua nguo CHADEMA kikabaki uchi. Kama madai aliyoyasema hamtayatolea majibu ya kuridhisha, hakika viongozi wenu watakuwa na wakati mgumu kwenye kampeni.
Hongera Mh Lujuakali kuanika uovu wa CHADEMA mapema maana ulitahadharishwa kuweka akiba ya maneno, hivyo hata wakikupoteza kama walivyowapoteza watu wao wakaisingizia Serikali, umekwisha yaanika madudu yao km Uwongo na Ufisadi wa kiwango cha kutisha. Msikilizeni Lijuakali.
Toa boriti jichoni mwako kwanzaLijualikali ndiye aliyesema miradi inagharamiwa kwa fedha za ndani eeh!? Sasa naelewa hats ile 1.5 trilioni ilikopotelea.
Maana yake tumepigwa ngumi ya mgongo sio.Trillion 6..... Seriously? Tena kwa siri.. Halafu kimyakimya... Sasa nimejua nini maana ya kutembea kifUa mbele
Jr
Boriti Ni ile 1.5 trilioni.Toa boriti jichoni mwako kwanza
Trilioni 6 kwa tarakimu ni Tsh. 6,000,000,000,000/=.
Kwa kuwa idadi ya Watanzania inakaribia 60,000,000
hii ina maana kila Mtanzania (pamoja na vichanga na vikongwe) tayari ana deni la Tsh. 100,000/=. Na hii ni kwa deni hili tu lililofichwa!
Unapenda sana kuimba taarabu kwenye mambo muhimuSasa ni wapi hapo Serikali imesema inataka nafuu ya madeni kutokana na COVID-19? Je, wapi Serikali imekiri kutokufuata kanuni? BTW hizi mnaweka lakini zile za Mbowe mnaficha.
Hii ndio iwe haki ya mijadala hapa.Nani aliyekwambia WB wanafanyia kazi taarifa za Google.
Wewe ndiye ulipaswa ufanye hiyo due deligence.
Hata barua hujaona imekiri kutokufanya nini?
Sent using iphone pro max
Mkuu Gobole, unasemaje kuhusu aliyoyaweka hapa mkuu 'wazunguwawili'.Mkopo wa Credit Suisse uki google tu unapata taarifa yote...km google imejaa habari za hii mikopo sasa huo usiri unaongelewa hapa upo wapi?heb tunapo pata taarifa tujitahidi kufanya due deligence kidogo...ka reseach kadogo kujiridhisha...tusiwe wepesi wa ku judge na ku comment vitu bila kudhibitisha habari husika...No reasearch no Right to Speak ila ss wa Tanzania naona tunafanya in reverse.