Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,682
- 8,233
Jana nilileta hii habari moods mkafuta ,mpaka walete watu wenu mnaowataka ,mbona ni taarifa ileile.
Mkuu lazima utambue kwamba JF imenunuliwa na wapinzani, kama ulivyosema hapo juu Moody's Crediting rating y a Tanzania kama sikosei tupo B1 wakati majirani zetu wenye usongo na sisi wapo B2 patamu hapo. Kwa mwendo huu kabla ya 2025 tutakuwa juu zaidi kutokana na ishara za uchumi wetu .