papaa-H
Member
- Nov 11, 2010
- 74
- 11
Wadau katika pitapita yangu kwenye mitandao nimekutana nasocial network ya kibongo jamaa wame-design platform ya kuchati, kushare photo,job search nk. Kitu kama G+ hivi au facebook. Iko hapa www.mambopoint.com,
My take,
serikali ya magamba inapaswa kusuport creation kama hizobadala ya kungangania vita na JF yetu hasa ukizingatia dunia sasa hivi inajengwa na Technolojiaya mawasiliano.
My take,
serikali ya magamba inapaswa kusuport creation kama hizobadala ya kungangania vita na JF yetu hasa ukizingatia dunia sasa hivi inajengwa na Technolojiaya mawasiliano.