Serikali ya CCM yazipa sapoti CHADEMA, CUF na ACT

Serikali ya CCM yazipa sapoti CHADEMA, CUF na ACT

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2020
Posts
3,579
Reaction score
2,906
CHADEMA NJOONI MBISHE KAMA HAMJAPEWA PESA ZA NO REFORMS NO ELECTION NA SERIKALI YA CCM.

Rais Samia ameliwezesha Baraza la Vyama vya Siasa kufanya mikutano sita (6) na baraza hilo kutoa mawazo na ushauri uliowasilishwa Serikalini na kufanyiwa kazi.

Kufuatia mashauriano yaliyowahusisha wadau wote wa kisiasa, Bunge lilitunga Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Na. 1 ya Mwaka 2024, Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 2 ya Mwaka 2024, Sheria ya Vyama vya Siasa Sura ya 258, na Sheria ya Gharama za Uchaguzi. Kwa mara ya kwanza, katika historia ya nchi yetu, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi iliundwa kwa sheria yake yenyewe.

Tulifanya ili kujibu rai ya muda mrefu ya wadau wa kisiasa nchini. Miongoni mwa maboresho kwenye Sheria ya Uchaguzi yalikuwa ni kuongeza takwa la kila mgombea kupigiwa kura hata akiwa mgombea pekee, hatua ambayo inafuta kilichojulikana kama mgombea kupita bila kupingwa.

Vilevile, utungaji wa Kanuni za uendeshaji wa uchaguzi ulifanyika, na Serikali imeendelea kuimarisha uendeshaji wa shughuli za vyama vya siasa nchini, ambapo hadi Juni, 2025, Serikali imetoa ruzuku ya Shilingi bilioni 87.81 kwa vyama vinavyostahili kupata ruzuku kama CCM, CHADEMA, ACT et el.
 
CHADEMA NJOONI MBISHE KAMA HAMJAPEWA PESA ZA NO REFORMS NO ELECTION NA SERIKALI YA CCM.

Rais Samia ameliwezesha Baraza la Vyama vya Siasa kufanya mikutano sita (6) na baraza hilo kutoa mawazo na ushauri uliowasilishwa Serikalini na kufanyiwa kazi. Kufuatia mashauriano yaliyowahusisha wadau wote wa kisiasa, Bunge lilitunga Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Na. 1 ya Mwaka 2024, Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 2 ya Mwaka 2024, Sheria ya Vyama vya Siasa Sura ya 258, na Sheria ya Gharama za Uchaguzi. Kwa mara ya kwanza, katika historia ya nchi yetu, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi iliundwa kwa sheria yake yenyewe. Tulifanya ili kujibu rai ya muda mrefu ya wadau wa kisiasa nchini. Miongoni mwa maboresho kwenye Sheria ya Uchaguzi yalikuwa ni kuongeza takwa la kila mgombea kupigiwa kura hata akiwa mgombea pekee, hatua ambayo inafuta kilichojulikana kama mgombea kupita bila kupingwa. Vilevile, utungaji wa Kanuni za uendeshaji wa uchaguzi ulifanyika, na Serikali imeendelea kuimarisha uendeshaji wa shughuli za vyama vya siasa nchini, ambapo hadi Juni, 2025, Serikali imetoa ruzuku ya Shilingi bilioni 87.81 kwa vyama vinavyostahili kupata ruzuku kama CCM, CHADEMA, ACT et el.
Ila huu ukweli mchungu aisee😂😂
 
CHADEMA NJOONI MBISHE KAMA HAMJAPEWA PESA ZA NO REFORMS NO ELECTION NA SERIKALI YA CCM.

Rais Samia ameliwezesha Baraza la Vyama vya Siasa kufanya mikutano sita (6) na baraza hilo kutoa mawazo na ushauri uliowasilishwa Serikalini na kufanyiwa kazi. Kufuatia mashauriano yaliyowahusisha wadau wote wa kisiasa, Bunge lilitunga Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Na. 1 ya Mwaka 2024, Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 2 ya Mwaka 2024, Sheria ya Vyama vya Siasa Sura ya 258, na Sheria ya Gharama za Uchaguzi. Kwa mara ya kwanza, katika historia ya nchi yetu, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi iliundwa kwa sheria yake yenyewe. Tulifanya ili kujibu rai ya muda mrefu ya wadau wa kisiasa nchini. Miongoni mwa maboresho kwenye Sheria ya Uchaguzi yalikuwa ni kuongeza takwa la kila mgombea kupigiwa kura hata akiwa mgombea pekee, hatua ambayo inafuta kilichojulikana kama mgombea kupita bila kupingwa. Vilevile, utungaji wa Kanuni za uendeshaji wa uchaguzi ulifanyika, na Serikali imeendelea kuimarisha uendeshaji wa shughuli za vyama vya siasa nchini, ambapo hadi Juni, 2025, Serikali imetoa ruzuku ya Shilingi bilioni 87.81 kwa vyama vinavyostahili kupata ruzuku kama CCM, CHADEMA, ACT et el.
We Mjinga sana 🤔🤔 Rais hana hela, hizo ni kodi kama ilivyo pesa za ruzuku kwa vyama ni kodi yetu watanzania 🤔🤔🤣🤣🤣🤣🤣 rudi shule kasome elimu ya Uraia, unaongozwa na ujinga,tumia akili
 
CHADEMA NJOONI MBISHE KAMA HAMJAPEWA PESA ZA NO REFORMS NO ELECTION NA SERIKALI YA CCM.

Rais Samia ameliwezesha Baraza la Vyama vya Siasa kufanya mikutano sita (6) na baraza hilo kutoa mawazo na ushauri uliowasilishwa Serikalini na kufanyiwa kazi. Kufuatia mashauriano yaliyowahusisha wadau wote wa kisiasa, Bunge lilitunga Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Na. 1 ya Mwaka 2024, Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 2 ya Mwaka 2024, Sheria ya Vyama vya Siasa Sura ya 258, na Sheria ya Gharama za Uchaguzi. Kwa mara ya kwanza, katika historia ya nchi yetu, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi iliundwa kwa sheria yake yenyewe. Tulifanya ili kujibu rai ya muda mrefu ya wadau wa kisiasa nchini. Miongoni mwa maboresho kwenye Sheria ya Uchaguzi yalikuwa ni kuongeza takwa la kila mgombea kupigiwa kura hata akiwa mgombea pekee, hatua ambayo inafuta kilichojulikana kama mgombea kupita bila kupingwa. Vilevile, utungaji wa Kanuni za uendeshaji wa uchaguzi ulifanyika, na Serikali imeendelea kuimarisha uendeshaji wa shughuli za vyama vya siasa nchini, ambapo hadi Juni, 2025, Serikali imetoa ruzuku ya Shilingi bilioni 87.81 kwa vyama vinavyostahili kupata ruzuku kama CCM, CHADEMA, ACT et el.
Jaribu kujitenga na aibu ndogondogo
 
CHADEMA NJOONI MBISHE KAMA HAMJAPEWA PESA ZA NO REFORMS NO ELECTION NA SERIKALI YA CCM.

Rais Samia ameliwezesha Baraza la Vyama vya Siasa kufanya mikutano sita (6) na baraza hilo kutoa mawazo na ushauri uliowasilishwa Serikalini na kufanyiwa kazi. Kufuatia mashauriano yaliyowahusisha wadau wote wa kisiasa, Bunge lilitunga Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Na. 1 ya Mwaka 2024, Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 2 ya Mwaka 2024, Sheria ya Vyama vya Siasa Sura ya 258, na Sheria ya Gharama za Uchaguzi. Kwa mara ya kwanza, katika historia ya nchi yetu, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi iliundwa kwa sheria yake yenyewe. Tulifanya ili kujibu rai ya muda mrefu ya wadau wa kisiasa nchini. Miongoni mwa maboresho kwenye Sheria ya Uchaguzi yalikuwa ni kuongeza takwa la kila mgombea kupigiwa kura hata akiwa mgombea pekee, hatua ambayo inafuta kilichojulikana kama mgombea kupita bila kupingwa. Vilevile, utungaji wa Kanuni za uendeshaji wa uchaguzi ulifanyika, na Serikali imeendelea kuimarisha uendeshaji wa shughuli za vyama vya siasa nchini, ambapo hadi Juni, 2025, Serikali imetoa ruzuku ya Shilingi bilioni 87.81 kwa vyama vinavyostahili kupata ruzuku kama CCM, CHADEMA, ACT et el.
Zingatia paragraph next time unatuchosha expert wangu
 
Hivi mnajua hata shetani anaweza kumpa binadamu utajiri?
Ila utajiri huo huwa na malengo na ni wa muda mfupi ili uingie ktk 18 zake na baada ya hapo itakuwa ni kilio na kusaga meno!
 
CHADEMA NJOONI MBISHE KAMA HAMJAPEWA PESA ZA NO REFORMS NO ELECTION NA SERIKALI YA CCM.

Rais Samia ameliwezesha Baraza la Vyama vya Siasa kufanya mikutano sita (6) na baraza hilo kutoa mawazo na ushauri uliowasilishwa Serikalini na kufanyiwa kazi. Kufuatia mashauriano yaliyowahusisha wadau wote wa kisiasa, Bunge lilitunga Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Na. 1 ya Mwaka 2024, Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 2 ya Mwaka 2024, Sheria ya Vyama vya Siasa Sura ya 258, na Sheria ya Gharama za Uchaguzi. Kwa mara ya kwanza, katika historia ya nchi yetu, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi iliundwa kwa sheria yake yenyewe. Tulifanya ili kujibu rai ya muda mrefu ya wadau wa kisiasa nchini. Miongoni mwa maboresho kwenye Sheria ya Uchaguzi yalikuwa ni kuongeza takwa la kila mgombea kupigiwa kura hata akiwa mgombea pekee, hatua ambayo inafuta kilichojulikana kama mgombea kupita bila kupingwa. Vilevile, utungaji wa Kanuni za uendeshaji wa uchaguzi ulifanyika, na Serikali imeendelea kuimarisha uendeshaji wa shughuli za vyama vya siasa nchini, ambapo hadi Juni, 2025, Serikali imetoa ruzuku ya Shilingi bilioni 87.81 kwa vyama vinavyostahili kupata ruzuku kama CCM, CHADEMA, ACT et el.
Hata kama ikiwa taarifa yako ni ya kweli,vipi unafikiri watageuka kuwa chawa?
 
CHADEMA NJOONI MBISHE KAMA HAMJAPEWA PESA ZA NO REFORMS NO ELECTION NA SERIKALI YA CCM.

Rais Samia ameliwezesha Baraza la Vyama vya Siasa kufanya mikutano sita (6) na baraza hilo kutoa mawazo na ushauri uliowasilishwa Serikalini na kufanyiwa kazi. Kufuatia mashauriano yaliyowahusisha wadau wote wa kisiasa, Bunge lilitunga Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Na. 1 ya Mwaka 2024, Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 2 ya Mwaka 2024, Sheria ya Vyama vya Siasa Sura ya 258, na Sheria ya Gharama za Uchaguzi. Kwa mara ya kwanza, katika historia ya nchi yetu, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi iliundwa kwa sheria yake yenyewe. Tulifanya ili kujibu rai ya muda mrefu ya wadau wa kisiasa nchini. Miongoni mwa maboresho kwenye Sheria ya Uchaguzi yalikuwa ni kuongeza takwa la kila mgombea kupigiwa kura hata akiwa mgombea pekee, hatua ambayo inafuta kilichojulikana kama mgombea kupita bila kupingwa. Vilevile, utungaji wa Kanuni za uendeshaji wa uchaguzi ulifanyika, na Serikali imeendelea kuimarisha uendeshaji wa shughuli za vyama vya siasa nchini, ambapo hadi Juni, 2025, Serikali imetoa ruzuku ya Shilingi bilioni 87.81 kwa vyama vinavyostahili kupata ruzuku kama CCM, CHADEMA, ACT et el.
Hizo ruzuku ndizo zinafanya wanasiasa kuuana. Vyama vitafute vyanzo vya fedha vyenyewe sio kutumia kodi za wananchi.
 
CHADEMA NJOONI MBISHE KAMA HAMJAPEWA PESA ZA NO REFORMS NO ELECTION NA SERIKALI YA CCM.

Rais Samia ameliwezesha Baraza la Vyama vya Siasa kufanya mikutano sita (6) na baraza hilo kutoa mawazo na ushauri uliowasilishwa Serikalini na kufanyiwa kazi. Kufuatia mashauriano yaliyowahusisha wadau wote wa kisiasa, Bunge lilitunga Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Na. 1 ya Mwaka 2024, Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 2 ya Mwaka 2024, Sheria ya Vyama vya Siasa Sura ya 258, na Sheria ya Gharama za Uchaguzi. Kwa mara ya kwanza, katika historia ya nchi yetu, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi iliundwa kwa sheria yake yenyewe. Tulifanya ili kujibu rai ya muda mrefu ya wadau wa kisiasa nchini. Miongoni mwa maboresho kwenye Sheria ya Uchaguzi yalikuwa ni kuongeza takwa la kila mgombea kupigiwa kura hata akiwa mgombea pekee, hatua ambayo inafuta kilichojulikana kama mgombea kupita bila kupingwa. Vilevile, utungaji wa Kanuni za uendeshaji wa uchaguzi ulifanyika, na Serikali imeendelea kuimarisha uendeshaji wa shughuli za vyama vya siasa nchini, ambapo hadi Juni, 2025, Serikali imetoa ruzuku ya Shilingi bilioni 87.81 kwa vyama vinavyostahili kupata ruzuku kama CCM, CHADEMA, ACT et el.
chadema ni balaa hawaachi kitu
 
CHADEMA NJOONI MBISHE KAMA HAMJAPEWA PESA ZA NO REFORMS NO ELECTION NA SERIKALI YA CCM.

Rais Samia ameliwezesha Baraza la Vyama vya Siasa kufanya mikutano sita (6) na baraza hilo kutoa mawazo na ushauri uliowasilishwa Serikalini na kufanyiwa kazi. Kufuatia mashauriano yaliyowahusisha wadau wote wa kisiasa, Bunge lilitunga Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Na. 1 ya Mwaka 2024, Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 2 ya Mwaka 2024, Sheria ya Vyama vya Siasa Sura ya 258, na Sheria ya Gharama za Uchaguzi. Kwa mara ya kwanza, katika historia ya nchi yetu, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi iliundwa kwa sheria yake yenyewe. Tulifanya ili kujibu rai ya muda mrefu ya wadau wa kisiasa nchini. Miongoni mwa maboresho kwenye Sheria ya Uchaguzi yalikuwa ni kuongeza takwa la kila mgombea kupigiwa kura hata akiwa mgombea pekee, hatua ambayo inafuta kilichojulikana kama mgombea kupita bila kupingwa. Vilevile, utungaji wa Kanuni za uendeshaji wa uchaguzi ulifanyika, na Serikali imeendelea kuimarisha uendeshaji wa shughuli za vyama vya siasa nchini, ambapo hadi Juni, 2025, Serikali imetoa ruzuku ya Shilingi bilioni 87.81 kwa vyama vinavyostahili kupata ruzuku kama CCM, CHADEMA, ACT et el.
Rubbish.,
 
CHADEMA NJOONI MBISHE KAMA HAMJAPEWA PESA ZA NO REFORMS NO ELECTION NA SERIKALI YA CCM.

Rais Samia ameliwezesha Baraza la Vyama vya Siasa kufanya mikutano sita (6) na baraza hilo kutoa mawazo na ushauri uliowasilishwa Serikalini na kufanyiwa kazi. Kufuatia mashauriano yaliyowahusisha wadau wote wa kisiasa, Bunge lilitunga Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Na. 1 ya Mwaka 2024, Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 2 ya Mwaka 2024, Sheria ya Vyama vya Siasa Sura ya 258, na Sheria ya Gharama za Uchaguzi. Kwa mara ya kwanza, katika historia ya nchi yetu, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi iliundwa kwa sheria yake yenyewe. Tulifanya ili kujibu rai ya muda mrefu ya wadau wa kisiasa nchini. Miongoni mwa maboresho kwenye Sheria ya Uchaguzi yalikuwa ni kuongeza takwa la kila mgombea kupigiwa kura hata akiwa mgombea pekee, hatua ambayo inafuta kilichojulikana kama mgombea kupita bila kupingwa. Vilevile, utungaji wa Kanuni za uendeshaji wa uchaguzi ulifanyika, na Serikali imeendelea kuimarisha uendeshaji wa shughuli za vyama vya siasa nchini, ambapo hadi Juni, 2025, Serikali imetoa ruzuku ya Shilingi bilioni 87.81 kwa vyama vinavyostahili kupata ruzuku kama CCM, CHADEMA, ACT et el.
Punguza utoto dogo.
 
CHADEMA NJOONI MBISHE KAMA HAMJAPEWA PESA ZA NO REFORMS NO ELECTION NA SERIKALI YA CCM.

Rais Samia ameliwezesha Baraza la Vyama vya Siasa kufanya mikutano sita (6) na baraza hilo kutoa mawazo na ushauri uliowasilishwa Serikalini na kufanyiwa kazi. Kufuatia mashauriano yaliyowahusisha wadau wote wa kisiasa, Bunge lilitunga Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Na. 1 ya Mwaka 2024, Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 2 ya Mwaka 2024, Sheria ya Vyama vya Siasa Sura ya 258, na Sheria ya Gharama za Uchaguzi. Kwa mara ya kwanza, katika historia ya nchi yetu, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi iliundwa kwa sheria yake yenyewe. Tulifanya ili kujibu rai ya muda mrefu ya wadau wa kisiasa nchini. Miongoni mwa maboresho kwenye Sheria ya Uchaguzi yalikuwa ni kuongeza takwa la kila mgombea kupigiwa kura hata akiwa mgombea pekee, hatua ambayo inafuta kilichojulikana kama mgombea kupita bila kupingwa. Vilevile, utungaji wa Kanuni za uendeshaji wa uchaguzi ulifanyika, na Serikali imeendelea kuimarisha uendeshaji wa shughuli za vyama vya siasa nchini, ambapo hadi Juni, 2025, Serikali imetoa ruzuku ya Shilingi bilioni 87.81 kwa vyama vinavyostahili kupata ruzuku kama CCM, CHADEMA, ACT et el.
Safi sana
 
Back
Top Bottom