Serikali ya CCM mmetengeneza mazingira ya utendaji ambayo kesho yakiwakuta hakuna lawama.

Serikali ya CCM mmetengeneza mazingira ya utendaji ambayo kesho yakiwakuta hakuna lawama.

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,525
Nime msikiliza waziri mkuu mwiguru japo uchaguzi mliofanya ni haramu na wadamu.

kuwa unasimamia maadili ambayo kampuni ya Ester ya mabasi sio yangu ila jina la kampuni ni la mke wangu ambaye ni neema.

Kwa serikali ya CCM ambayo sasa inawatafuna wenyewe sasa haya ni mambo ambayo muwezi kufanya.

*Idara za ulinzi kuwa za maagizo sio kuwa uhuru na kuwa kikundi cha watu.

*Utumishi kuwa sehemu za maagizo ya watu na kuwa sehemu ya kufanyia chama tawala.

*Wizara nyeti kuwekwa familia,ndugu,jamaa na marafiki na sio kuwekwa watu wenye taaluma.

*Mtindo wa magari ya serikali kuficha utambulisho wao plate number na vioo vyeusi.

*Kuto kusikiliza kuanzia mkaguzo mkuu mpaka wananchi.


Hapa mkirudi mtaani labda kama watakuwa na pesa ya kumudu au wakaishi nchi za nje.
 
Kwanza anastahili kunyanganywa PhD yake sababu ameongea mambo ya aibu sana.

Asilimia 98 baada ya uchafuzi wa October 29 ni asilimia za chaji ya simu.

Uwezo wa Samuya kupata 98,% ni kwenye chaji ya simu peke yake and nothing else sababu IQ yake inajulikana.
 
Kwanza anastahili kunyanganywa PhD yake sababu ameongea mambo ya aibu sana.

Asilimia 98 baada ya uchafuzi wa October 29 ni asilimia za chaji ya simu.

Uwezo wa Samuya kupata 98,% ni kwenye chaji ya simu peke yake and nothing else sababu IQ yake inajulikana.
Uchaguzi una matokeo ya mwanafuzi wa shule kabisa.
Ila hii nchi tuna kazi.
 
Ukitaka kuwa mpiga deals kuwa ccm hakuna mtu atakugusa
Ni mwendo wa kulamba asali tuu

Jaman tafuteni kadi ya chama mlambe asali
 
Back
Top Bottom