Serikali ya CCM inaogopa kufunga mtandao wa instagram sababu wasanii wao wapo huko

Serikali ya CCM inaogopa kufunga mtandao wa instagram sababu wasanii wao wapo huko

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,525
Wahuni walijua kufungia twitter(X) ndio kukomesha wanaharakati na walijua hakuna watumiaji wengi.
Sijui hizi habari wanashauriwa na vilaza toka JF.

Sasa siasa imeamia instagram na facebook na huko ndio kuna wasanii wao 😂. Karma karma sasa fungeni wawa geuke
 
Back
Top Bottom