WE NEED NEW LEADERS WITH VISION,NOT RE-CYCLED LEADERS WENYE ARI MPYA NGUVU MPYA NA KASI MPYA ISIYO NA MUELEKEO.
Hawatajihuzuru hata siku moja.
Sisi tunaoliwa ndo tunatakiwa kuchukua hatua za kuingia kwenye uongozi wa kisiasa ili kuinusuru nchi yetu.
Tugombee nafasi zote kuanzia Udiwani mpaka Ubunge.
Kelele tu haziwezi kuwaondoa SISIEMU asilani
Hakuna hata mmoja asiye mwizi,viongozi wote ni wafanyabiashara kikwete yupo kimya.Pesa za serikali zinaibiwa mchanamchana.Mikataba ya carl peters inasainiwa kila siku! Nchi yetu imebaki kuwa na mashimo tu!Maziwa yetu samaki wameisha tumebaki kula mapanki !Mikataba mibovu inatufunga sisi watoto wetu mpaka wajukuu kwa miaka mpaka hamsini.
Tumekuwa wapole mno,Je mpaka lini tutawavumilia hawa?
sasa wazee mnajua 2010 sio mbali,mikakati ya kuchukua viti zaidi vya ubunge ianze mara moja maana haya mafisadi bila watu kujitoa mhanga yatapigana mpaka last breath...sasa ni vitendo na mkumbuke ushindi haupatikani kwa siku moja so maandalizi ni muhimu sana kuanzia sasa hivi,nitasupport wale wote wenye vision ya kueleweka na ambao hawatoki CCM...lazima tuwachape hawa mafisadi kwa kishindo cha nguvu sana mpaka wakose mlango wa kutokea.
Kila siku napinga hili jambo, Serikali siyo ya CCM. Serikali ya wananchi wa Jamhuri ya muungano. CCM wamepewa mamlaka ya kuiongoza. Nimeshaongelea hili nadhani na Zitto huko mnakopita muwaeleze wananchi kuwa kuiondoa CCM kuongoza serikali haimaanishi umepindua serikali au umeiondoa serikali. Umeondoa sera na wasimalizi wa hizo sera. Kama wananchi hawataeleweshwa kuhusu ili basi uoga wa kuiondoa CCM kuongoza serikali hautaondoka.