Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Hapo vip!!
Watanzania wenzangu mnaomia kipindi hichi Poleni Sana, najua mpo wengi sana mnaotamani kusema ila mnazibwa mnomo kwa mkono wa dola.
Lakini siku itakuja hiyo dola itapeperushwa kama karatasi.
Serikali ya awamu ya tano,imekuwa inafanya maamuzi pasipo kuangalia maslahi ya Taifa na wananchi kwa ujumla ila maamuzi mengi yanafanyika kwa nia ya kulipiza visasi,kukomoa watu fulani au Kwa maslahi ya hao watawala waliopo madarakani na huku Sheria hizo zikiwaumiza wananchi na kuharibu maslahi ya Taifa.
Mfano, Sheria mliopitisha kudhibiti uhuru wa vyomba vya habari, je, hiyo Sheria inamaslahi kwa nani..?
Sheria ya kikokoteo cha mafao na haki za wafanyakazi, Je, hayo marekebisho katika hiyo Sheria yanamaslahi kwa nani?
Sheria mliopitisha kudhibiti vyama vya siasa inamaslahi kwa nani...?
Niwazi haya marekebisho yote Haya maslahi kwa wananchi ila ni kwalengo la kukomoa watu fulani na Kwa maslahi ya mtawala.
Jana mmepitisha Mswada wa marekebisho mbalimbali Namba 3,kwa lengo la kudhibiti asasi za kiraia,makampuni na vyama vya kijamii kwa maslahi ya mtawala huyu.
Serikali mmeshindwa kuleta maendeleo kwa wananchi bdo haitoshi mnaenda kuchokonoa asasi za kiraia ambao ndio wadau wakubwa wanaoleta maendeleo kwenye jamii.. Haya yote mnafanya kwa maslahi ya nani sasa?
Mnatia hasira Sana, shukuruni Tanzania kuna wajinga wengi sana.
Kama kweli hayo maamuzi mnayofanya yanamaslahi kwa wananchi, Kwanini kipindi hichi wananchi wanaoishi, chini ya dola moja kwa siku wanazidi kuongezea Kila kukicha. Kuna chanjo za bure zimepotea hospital, mfano,vituo vya angaza hakuna.
Biashara ndogo ndogo, zimekufa Sana kipindi hichi, ajira zimehadimika.Bank zinaukata wa pesa.
Jamani hii ni nchi sio familia, tusifanya maamuzi ya nchi kwa kutumia akili na hisia ya mtu mmoja ,anamka tu anamua kama anavyotaka no.
CCM ni chama kizuri Sana kwa sababu haina msingi ya dini na kikabila ila kuna watu wemefanya kionekane kibaya kwa sababu ya maamuzi yao ovyo, ovyo.
Watanzania wenzangu mnaomia kipindi hichi Poleni Sana, najua mpo wengi sana mnaotamani kusema ila mnazibwa mnomo kwa mkono wa dola.
Lakini siku itakuja hiyo dola itapeperushwa kama karatasi.
Serikali ya awamu ya tano,imekuwa inafanya maamuzi pasipo kuangalia maslahi ya Taifa na wananchi kwa ujumla ila maamuzi mengi yanafanyika kwa nia ya kulipiza visasi,kukomoa watu fulani au Kwa maslahi ya hao watawala waliopo madarakani na huku Sheria hizo zikiwaumiza wananchi na kuharibu maslahi ya Taifa.
Mfano, Sheria mliopitisha kudhibiti uhuru wa vyomba vya habari, je, hiyo Sheria inamaslahi kwa nani..?
Sheria ya kikokoteo cha mafao na haki za wafanyakazi, Je, hayo marekebisho katika hiyo Sheria yanamaslahi kwa nani?
Sheria mliopitisha kudhibiti vyama vya siasa inamaslahi kwa nani...?
Niwazi haya marekebisho yote Haya maslahi kwa wananchi ila ni kwalengo la kukomoa watu fulani na Kwa maslahi ya mtawala.
Jana mmepitisha Mswada wa marekebisho mbalimbali Namba 3,kwa lengo la kudhibiti asasi za kiraia,makampuni na vyama vya kijamii kwa maslahi ya mtawala huyu.
Serikali mmeshindwa kuleta maendeleo kwa wananchi bdo haitoshi mnaenda kuchokonoa asasi za kiraia ambao ndio wadau wakubwa wanaoleta maendeleo kwenye jamii.. Haya yote mnafanya kwa maslahi ya nani sasa?
Mnatia hasira Sana, shukuruni Tanzania kuna wajinga wengi sana.
Kama kweli hayo maamuzi mnayofanya yanamaslahi kwa wananchi, Kwanini kipindi hichi wananchi wanaoishi, chini ya dola moja kwa siku wanazidi kuongezea Kila kukicha. Kuna chanjo za bure zimepotea hospital, mfano,vituo vya angaza hakuna.
Biashara ndogo ndogo, zimekufa Sana kipindi hichi, ajira zimehadimika.Bank zinaukata wa pesa.
Jamani hii ni nchi sio familia, tusifanya maamuzi ya nchi kwa kutumia akili na hisia ya mtu mmoja ,anamka tu anamua kama anavyotaka no.
CCM ni chama kizuri Sana kwa sababu haina msingi ya dini na kikabila ila kuna watu wemefanya kionekane kibaya kwa sababu ya maamuzi yao ovyo, ovyo.