Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,050
- 3,658
- Thread starter
- #21
Mungu tu ndio anapaswa kunyenyekewa hivyo ila unachokiomba ni haki yako kikatiba upatiwe.. Sio issue ya kuwaomba ha,ndugu yangu haki haiyombwi inadaiwa.Mungu Mkubwa na anajua zaidi, siwezi laumu, wala siwezi sifia.
Ila jamani kazi hakuna, mzunguko wa hela ili tuuze bamia pia hakuna. Mimi nawaomba wenye Nchi jamani tafuteni namna tutoke vijana, maana elimu mnayo, na Pesa mnayo.
Tusaidieni vijana, maana tumeshindwa cha kufanya, shamba pagumu, mjini hapafai. Waeshimiwa tusaidieni, Mambo yenu yaende na yetu yafae. Mnisamee kama nimewakwaza.