Kila mtu anajua kilichotokea Dar wakati wa kumuaga JPM! Cha ajabu leo Mwenyekiti wa Kamati ya Mazishi Mh. Waziri Mkuu amevipongeza vyombo vya Ulinzi na Usalama kwa kazi nzuri kipindi chote.
Jambo Hili limenishangaza watu wamekufa kwa uzembe Serikali inakaa kimyaa hata pole?
Sasa hio kazi nzuri ni ipi?
Ingekuwa nchi zilizoendelea Kuna mtu angeonesha uungwana kujiuzuru!
Hili linashangaza hakika!
Jambo Hili limenishangaza watu wamekufa kwa uzembe Serikali inakaa kimyaa hata pole?
Sasa hio kazi nzuri ni ipi?
Ingekuwa nchi zilizoendelea Kuna mtu angeonesha uungwana kujiuzuru!
Hili linashangaza hakika!