Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,554
- 22,081
Hata hiyo ni kazi pia, kazi ni kazi tu.
watu wameanza kunyanyua nondo huku mtaani!,
watu wameanza kunyanyua nondo huku mtaani!,
Sawa Umeshinda🙌🙌.. am out 🚶♀️🚶♀️kwamba wanaonyanyua vyuma ni kwa ajili ya kuwakaba shingo humanoid species kama mleta mada?
Me mwenyewe kibaka, wajichanganye waonePapaso litaanza na wewe...😅
Kwakweli nimeshindwa mimi😃😃Mwenyekiti huyo hatumuwezi...😅
Mpaka mmoja wao apigwe kwa nondo ndiyo watasikiaWamekusikia
hahaha noma sana.Mwenyekiti huyo hatumuwezi...😅
Hapana, serikali yetu ni sikivu sana😃😃😊Mpaka mmoja wao apigwe kwa nondo ndiyo watasikia
Uongo mtupu, kwa hiyo huo uchawa wako umeona ndio kazi ?Unawaongelea vijana gani hao wajinga wajinga wasiojitambua. Vijana wanaodhani Diamond kabahatisha maisha bila kujitoa. Kwa ufupi vijana wa Tanzania ni wajinga tena wakose ajira wajinga sana tena sana. Wengi hawataki kufanya kazi kutwa nzima Kushinda vijiweni na kugongea msosi kwa wazazi wao. Serikali inabidi ipitishe sheria ukifia 18 uondoke kwa wazazi wako.
uko mtaa gani wewe.Serikali fanyeni namna watu wapate kazi watu wameanza kunyanyua nondo huku mtaani!,punde si punde wataanza kusema na shingo zetu kwenye vichochoro.. watu watabanwa mbavu watoe vya watu! Mi sisemi mengi