Mozila
Senior Member
- Mar 23, 2012
- 174
- 47
Ni wazi wazanzibar hawakubali serikal 3, wanataka muungano wa mkataba. Warioba kila cku anasisitiza serikal tatu hata kabla ya mchakato wa katiba mpya akipewa support na sengondo mvungi. Jaman serikal 3 theoritically inawezekana, lakin practically haiwezekani