Serikali tatu, CCM hoi mpaka UN

Serikali tatu, CCM hoi mpaka UN

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Wakuu, hii ni aibu ya kustaajabisha mda ni ya Serikali hii dhaifu ya Chama chakavu............... Wakati Serikali hii dhaifu ya CCM Isiyojua Kufanya utafiti wa mambo kabla ya Kuyaropoka hadharani Ikidai kuwa "HATI ZA MUUNGANO" zipo Umoja wa Mataifa (UN), Umoja huo wa Mataifa umeikana Serikali ya Tanzania hadharani na kuweka wazi kuwa hakuna Ushahidi wa Jambo hilo..................... Taarifa zilizolifikia Gazeti la Tanzania Daima Jumapili 06/04/2014 kutoka kwa Ofisa wa Masuala ya Sheria na Mikataba ya Umoja wa Mataifa Bw.Andrei Kolomoets, zilibainisha kuwa hakuna Ushahidi wa Sekretarieti ya Umoja huo kuzisajili hati hizo........... Kolomoets aliendelea kubainisha kuwa, kama hati hizo zingekuwa zimesajilia na Umoja wa Mataifa, kungekuwa na Kumbukumbu zake.......... My Intake:Enzi za Mwalimu, mambo yalipelekwa Simple...hivyo naomba kila mmoja wetu akumbuke kwamba, hati yetu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni UDONGO aliouchanganya Mwalimu Nyerere Tarehe 26/04/1964.
 
Tuliangalie hili suala, kilio cha kila upande tutakiballance kwa serikali moja au yetu, serial I mbili haitatoa maelezo ya kuridhisha ni wapi inafichama Tanganyika yetu, na hapo ccm haitolei ufafanuzi wapi itakuwa hatima ya Tanganyika, kama serikali tatu ni vigumu turudi kwenye seriksli moja, hapo tutakuwa wakweli. La sivyo katiba itabakia kiini macho.
 
Wakuu, hii ni aibu ya kustaajabisha mda ni ya Serikali hii dhaifu ya Chama chakavu............... Wakati Serikali hii dhaifu ya CCM Isiyojua Kufanya utafiti wa mambo kabla ya Kuyaropoka hadharani Ikidai kuwa "HATI ZA MUUNGANO" zipo Umoja wa Mataifa (UN), Umoja huo wa Mataifa umeikana Serikali ya Tanzania hadharani na kuweka wazi kuwa hakuna Ushahidi wa Jambo hilo..................... Taarifa zilizolifikia Gazeti la Tanzania Daima Jumapili 06/04/2014 kutoka kwa Ofisa wa Masuala ya Sheria na Mikataba ya Umoja wa Mataifa Bw.Andrei Kolomoets, zilibainisha kuwa hakuna Ushahidi wa Sekretarieti ya Umoja huo kuzisajili hati hizo........... Kolomoets aliendelea kubainisha kuwa, kama hati hizo zingekuwa zimesajilia na Umoja wa Mataifa, kungekuwa na Kumbukumbu zake.......... My Intake:Enzi za Mwalimu, mambo yalipelekwa Simple...hivyo naomba kila mmoja wetu akumbuke kwamba, hati yetu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni UDONGO aliouchanganya Mwalimu Nyerere Tarehe 26/04/1964.

Nilisema zamani humu, Nyerere hakuna moja lenye maana aliloifanyia hii nchi nyinyi mnaniona mbaya. Haya sasa, jibuni.

Nilisema humu siku nyingi sana, wale wa zamani watakumbuka, Nyerere kaiuwa nchi, nikatukanwa, nikasemwa, nikaletewa kila aina ya kejeli. Sasa nawauliza Tangayika ni nani aliyeiuwa?

Mkinijibu mniombe na msamaha, kwa matusi yenu na kwa kuwa nilisema Nyerere alifanya makosa makubwa sana kuiuwa nchi. Leo kiko wapi?

Wale wote wanaomtetea Nyerere leo hii ndiyo wapo mstari wa mbele kuitafuta Tanganyika.

Kulikoni? leo hamtaki kuzienzi fikra na maamuzi ya Nyerere?
 
Nilisema zamani humu, Nyerere hakuna moja lenye maana aliloifanyia hii nchi nyinyi mnaniona mbaya. Haya sasa, jibuni.

Nilisema humu siku nyingi sana, wale wa zamani watakumbuka, Nyerere kaiuwa nchi, nikatukanwa, nikasemwa, nikaletewa kila aina ya kejeli. Sasa nawauliza Tangayika ni nani aliyeiuwa?

Mkinijibu mniombe na msamaha, kwa matusi yenu na kwa kuwa nilisema Nyerere alifanya makosa makubwa sana kuiuwa nchi. Leo kiko wapi?

Wale wote wanaomtetea Nyerere leo hii ndiyo wapo mstari wa mbele kuitafuta Tanganyika.

Kulikoni? leo hamtaki kuzienzi fikra na maamuzi ya Nyerere?

Toka nimeanza kusoma reply zako leo nimekuelewa vizuri.Nakuunga mkono kwa hili mkhekuu.
 
Nilisema zamani humu, Nyerere hakuna moja lenye maana aliloifanyia hii nchi nyinyi mnaniona mbaya. Haya sasa, jibuni.

Nilisema humu siku nyingi sana, wale wa zamani watakumbuka, Nyerere kaiuwa nchi, nikatukanwa, nikasemwa, nikaletewa kila aina ya kejeli. Sasa nawauliza Tangayika ni nani aliyeiuwa?

Mkinijibu mniombe na msamaha, kwa matusi yenu na kwa kuwa nilisema Nyerere alifanya makosa makubwa sana kuiuwa nchi. Leo kiko wapi?

Wale wote wanaomtetea Nyerere leo hii ndiyo wapo mstari wa mbele kuitafuta Tanganyika.

Kulikoni? leo hamtaki kuzienzi fikra na maamuzi ya Nyerere?
This is chasing shadows, blame game and never take responsibilities sickness..., kama aliyeharibu nchi ameshafariki, Je sasa nchi ni nzuri kuliko alivyokuwepo ? au nchi ilikuwa nzuri kabla hajaingia madarakani ? au kwanini isiwe nzuri sasa ameshaondoka ?

If you blame others for your failures, don't forget to credit them with your success
 
Nilisema zamani humu, Nyerere hakuna moja lenye maana aliloifanyia hii nchi nyinyi mnaniona mbaya. Haya sasa, jibuni.

Nilisema humu siku nyingi sana, wale wa zamani watakumbuka, Nyerere kaiuwa nchi, nikatukanwa, nikasemwa, nikaletewa kila aina ya kejeli. Sasa nawauliza Tangayika ni nani aliyeiuwa?

Mkinijibu mniombe na msamaha, kwa matusi yenu na kwa kuwa nilisema Nyerere alifanya makosa makubwa sana kuiuwa nchi. Leo kiko wapi?

Wale wote wanaomtetea Nyerere leo hii ndiyo wapo mstari wa mbele kuitafuta Tanganyika.

Kulikoni? leo hamtaki kuzienzi fikra na maamuzi ya Nyerere?


Wewe Faizafoxy nikama ndumilakuwili

1. Ukiwa mtumwa, shabiki na mapambe wa ccm unapigia debe serikali mbili yaani msimamo wa ccm

2. Akijitokeza Nyerere hugeuka ghafla nakujifanya hutambui alichokifanya, na ccm chimbuko lake ni huyohuyo

Nimabwege tu ambao hutetea wasichokijuwa nakukipinga kilele wakiteteacho kwa jicho la udini.
 
upo sahihi mkuu.

Karume alikubali muungano kwa kuwa lilikuwa sharti la Nyerere ili apewe nchi ya Zanzibar kwani mganda ndo alieongoza mapinduzi wakati Karume alikuwa anakula urojo mchambawima

Wenzake wanmpindua mkoloni yeye anakula ulojo?!?halaf anapewa nchi kirahisi?haya sasa inabidi mkubali tu muungano wa kimagumashi magumashi!
 
Tanganyika itarudi whether jakaya na wahafidhina wenzake hawataki au wanataka
 
Toka nimeanza kusoma reply zako leo nimekuelewa vizuri.Nakuunga mkono kwa hili mkhekuu.

Msigida

kuphenja ntoni weev??

kama wewe nimnyataru feki usiwahalibie wanyaturu wengine wenye ufaham kwa kuunga mkono upuuzi.

kipi alichokiandika Foxy cha maana kionekane cha maana zaidi ya mtazamo wake wa jicho la udin dhidi ya Mwal J K Nyerere?

Je nawewe upo kupinga legitimacy na weledi wa Nyerere kwa mtazamo huohuo?
 
Hivi mwananchi wa sikonge ukihisiwa umefoji cheti inakuwaje? Kweli ccm kubalini ubaya wote wa nchi hii uko juu yenu. Ikiwa mwenye sahihi ameikana serikali imeshindwa nini kumpata aliyefoji mkataba? Kuna usemi mtaa unaosema nchi imeuzwa. Sasa naanza kuamini. Ikiwa hati ya muungano umefojiwa. Je mkataba wa kuuzwa nchi si upo pia?
 
CCM imeendelea kutegemea mazindiko na hata sasa wanaamini uchawi utawasaidia kwenye mchakato wa katiba mpya ila acha tuone kama ccm ikihujumu huu mchakato kulinda ushirikina wao kama bado watasalia madarakani only time will tell soon
 
Siitaji kuamini mnacho sema maana maisha kabla ya muungano sijui yalikuwaje kwa kutumia ufahamu wangu vijana wa kileo tumekuwa si wachujaji mambo hebu fikiria kama nyinyi wazazi wetu mnasema j.k nyerere aliiharibu nchi kwa vitu kamahivi c kweli kwani maisha ya kipindi kile ni tofauti sana na ya leo watu walikuwa hawana elimu ya kutosha mfano hai kipindi cha uongozi wa Abdu jumbe angeluwa si kiongozi makini sifahamu tungekuwa wapi pia kama sisi vijana wa leo ambao tunajulikana kama taifa la leo na si la kesho tungejivunia kitu gani tulicho kishikilia kwa miaka hamsini na kitu kwa upendo na ukarimu tusiwe wepesi wa kulaumu ila tunapaswa kujiuliza wapi penye ufa na tunapaziba au tujenge upya na tambua mawazo yako ila ukumbuke hao watanzani wa visiwani wakumbuke bila muungano wetu leo hii wasingekuwa walipo kwa usalama kwani asili ya visiwa hivyo ni mapinduzi je waliopindua hiyo inchi wote waliridhika na ugawji wa madaraka alioufanya mzee karume.kumbuka mapungufu yaliopo kwenye muungani ni mambo yanaowezekana kupatiwa ufumbuzi ila nimichezo michafu ya siasa za watu wachache wenye uloho wa madaraka na si masilahi ya Tanzania wala suala la katiba mpya jifunze kupitia manufaa tulionayo vijana leo tunapata fursa za kufanya biashara na kupata elimu ya vitendo kwa kwenda kujifunza zanzibar bila masharti.ahsanteni ni mimi kijana wenu joseph
 
Back
Top Bottom