Serikali pigeni marufuku pombe nchini

Serikali pigeni marufuku pombe nchini

Kwakuwa nchi yetu bado changa kiuchumi ni bora serikali ingepiga marufuku uuzwaji wa pombe nchini ili watu wafanye kazi. Watu wengi wanashindwa kumudu majukumu mbalimbali kutokana na unywaji wa pombe, hivyo hupelekea kutokufika malengo yaliyokusudiwa.

Hivyo ushauri wangu kwa serikali ipige marufuku unywaji wa pombe kwa raia wake na ipige marufuku uuzwaji pia utengenezaji wa pombe hapa nchini. Ipige marufuku hata kwa muda wa miaka 10 - 15 hivi

Nawasilisha.
Ajira zimekuwa adimu mkuu hivyo kuna wanywaji wanagongea (si unajua mlevi anaku yima chakula anakununulia pombe) pia hicho ni mojakati ya vyanzo vikuu vya mapato nchini
 
Kwakuwa nchi yetu bado changa kiuchumi ni bora serikali ingepiga marufuku uuzwaji wa pombe nchini ili watu wafanye kazi. Watu wengi wanashindwa kumudu majukumu mbalimbali kutokana na unywaji wa pombe, hivyo hupelekea kutokufika malengo yaliyokusudiwa.

Hivyo ushauri wangu kwa serikali ipige marufuku unywaji wa pombe kwa raia wake na ipige marufuku uuzwaji pia utengenezaji wa pombe hapa nchini. Ipige marufuku hata kwa muda wa miaka 10 - 15 hivi

Nawasilisha.
Aliekudanganya unywaji pombe unachelewesha maendeleo nani. Halafu wakizuia hilo gap la kodi inayokusanywa kupitia uuzaji wa pombe utaliziba wewe.
 
Kwakuwa nchi yetu bado changa kiuchumi ni bora serikali ingepiga marufuku uuzwaji wa pombe nchini ili watu wafanye kazi. Watu wengi wanashindwa kumudu majukumu mbalimbali kutokana na unywaji wa pombe, hivyo hupelekea kutokufika malengo yaliyokusudiwa.

Hivyo ushauri wangu kwa serikali ipige marufuku unywaji wa pombe kwa raia wake na ipige marufuku uuzwaji pia utengenezaji wa pombe hapa nchini. Ipige marufuku hata kwa muda wa miaka 10 - 15 hivi

Nawasilisha.
Hivi unajua kwamba kodi ya pombe, na hasa bia, ndio inayoongoza kwa mapato makubwa ya serikali nchini? Serikali kwa sasa inapata fedha nyingi kutokana na mauzo ya bia kuliko hata dhahabu na Tanzanite.

Sasa ukijua hilo nenda kamshauri Magufuli apige marufuku pombe nchini kama hujapotezewa!
 
Kwakuwa nchi yetu bado changa kiuchumi ni bora serikali ingepiga marufuku uuzwaji wa pombe nchini ili watu wafanye kazi. Watu wengi wanashindwa kumudu majukumu mbalimbali kutokana na unywaji wa pombe, hivyo hupelekea kutokufika malengo yaliyokusudiwa.

Hivyo ushauri wangu kwa serikali ipige marufuku unywaji wa pombe kwa raia wake na ipige marufuku uuzwaji pia utengenezaji wa pombe hapa nchini. Ipige marufuku hata kwa muda wa miaka 10 - 15 hivi

Nawasilisha.
Mkuu unataka utupoteze.. makampuni yanayo yanayotoa Kodi kubwa hapa bongo Ni makampuni ya kutengeneza Pombe.. Tunaweza kuchelewa kukamilisha ujenzi wa SGR kwa sababu ya ushauri Kama huu
 
Huku kwetu " Konyagi" tunapimiwa kuanzia Mia tano.

Tunaachaje pombe.halafu ka glass ni kaduchu mno yaani sina jinsi, hata nikisema ninunue mizinga mi2 niweke ndani haichukui siku mbili imeisha tafadhali konyagi walete glass kama zile Germany pegs.
 
Pombe hipi unayoizungumzia hapa??
tapatalk_1550210386484.jpeg
 
Mgodi mmoja wa wawekezaji walianza kupima watu bangi kisa meneja mkuu mzungu alikuwa mlokole.
Baada ya miezi mi3 uzalishaji ulishuka kwa asilimia 50%.Kilichotea wakubwa wake wakamfukuza kazi.
Pombe ikipigwa marufuku uchumi wa nchi utayumba haya madini yenu hayaingizi pato kama pombe
 
Akili kisoda, hizi pombe tunazokunywa ndio zinazowaingizia kodi shwaaaini.
 
Back
Top Bottom