Mkambarani
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 287
- 251
Tathmini ni jambo la kawaida kabisa
Wao mbona wameshindwa kutekeleza bajeti waliyopanga katika mwaka huu wa fedha unaoisha hata kwa asilimia 50%.unaogopa nini kufanyiwa tathmini? kwani wewe hutimizi wajibu wako? kwanini usifanyiwe tathmini? unaogopa nini? mbona private sector ni swala la kawaida? punguza deko
Naona hata OPRAS imezingua wanashindwa kuitekelezaKila mwaka tunafanyiwa tathmini kwa kutumia OPRAS, bado hiyo haitoshi?
Mkikuta performance yangu ni 200% mtanilipa shilingi ngapi?
Acheni UKUDA huo...
Hilo lisikutishe,shule wameanzisha wenyeweDawa yao ni kukomaa nao hadi mwisho,
pale mtakaposema waliosoma shule za kata wanatumbuliwa ndio mtanipata.
Kuna jamaa manispaa ya kinondoni ndo alikuwa akihakiki vyeti na matokeo yake amesombwa na Vyeti fakeHao wanaofanyia wenzao tathimini wao wamejitathimini?wanaandaa njia za kulipana posho ilhali hao wanaotaka kuwatathimini wanamaisha ya aibu sana,hawa viongozi sijui wanawazaje Sielewi,sijaona hata anaekuja na wazo la kuboresha mazingira ya watumishi kila siku wanawaza kuwakomoa tu.
Na Nyongeza ya mishahara nayo ni JAMBO LA LAZIMATathmini ni jambo la kawaida kabisa
Wanarukaruka kweli wakifika KIPENGELE HICHOWaongeze mishahara, waache ujinga
Huyu mama ni jinamizi!Ni kama wanataka mtumishi awe kama mfanyakazi wa kanjibhai.Niliona sehemu mtu kaajiriwa nesi duka LA dawa,walikosekana wateja anapewa kufua nguo za watoto.Anaambiwa huwezi kaa tu.Na dukani ukweli kiti ni cha bosi tu.Hutakiwi kukaa kuanzia asubuhi hadi saa 12 jioni.Huyo mwanamke ana roho mbaya
Huko serikalini wanapopanga jambo huwa hawafikirii kwa upana wake.Mf. OPRAS,kwa idara ya afya kuna shida sana kwa baadhi ya kada.Mf. mtu yuko famasi,kila Siku dawa hakuna,na serikali ndiyo haijaleta dawa,sasa hawa watu unawapimaje performance yao?Sana sana ninachokiona ni watu kupandishwa kindugu na aidha utoe rushwa.Wanaopanda kirahisi ni wale wanaotoa chanjo mfano.Yeye atasema niliweka lengo la kutoa chanjo kwa watu kadhaa,na nimevuka lengo kwa asilimia kadhaa.Ukweli mipango mingi inaongeza mianya ya uonevu tu na kufaidisha watu wachache.Mungu yupo lakiniunaogopa nini kufanyiwa tathmini? kwani wewe hutimizi wajibu wako? kwanini usifanyiwe tathmini? unaogopa nini? mbona private sector ni swala la kawaida? punguza deko
Private sekta unaifahamu au umesimuliwa? Yaani huko tathimini inaenda na malipo ya fedha sasa huko government malipo yanachekeshaunaogopa nini kufanyiwa tathmini? kwani wewe hutimizi wajibu wako? kwanini usifanyiwe tathmini? unaogopa nini? mbona private sector ni swala la kawaida? punguza deko
Sawa Mamii, kuna taasisi zinaajiri tu kazi hazipo. Kuna taasisi wamefanya Watumishi tena Wasomi Vidampa. Tembeeni na audit team mtajionea.
Hana mamlaka hayo, kuna kitu kiko nyuma yakeHuyo mwanamke ana roho mbaya